Huu utaratibu wa kununua Gari kwa kufuata namba utakuja kuuziwa gari namba D alafu imechoka balaa kuliko namba A au B....mifano tunayo mkuuKaka kwa hizo bei ni ngum kuganya biashara hasa no za gari
Huu utaratibu wa kununua Gari kwa kufuata namba utakuja kuuziwa gari namba D alafu imechoka balaa kuliko namba A au B....mifano tunayo mkuuKaka kwa hizo bei ni ngum kuganya biashara hasa no za gari
Mmeambiwa zilikuwa hazitumiki sasa picha atatoa wapi???hata picha tu huna
Mimi niliuziwa gari namba B na mtu fulani,yeye akanunua gari nyingine namba D,sasa hivi gari yangu namba B ina hali nzuri kuliko yake namba DHuu utaratibu wa kununua Gari kwa kufuata namba utakuja kuuziwa gari namba D alafu imechoka balaa kuliko namba A au B....mifano tunayo mkuu
Ni sawa kaka unayo sema lakin wengi huangalia yy akitaka kuuza wengi hununua nomberHuu utaratibu wa kununua Gari kwa kufuata namba utakuja kuuziwa gari namba D alafu imechoka balaa kuliko namba A au B....mifano tunayo mkuu