Kiwi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 1,054
- 990
Gari la serikali lenye namba STK 4394 limekamatwa likiwa limebeba twiga na swala wenye thamani ya sh 55 milioni.
Source twitter #ujangili ippmedia.
My take:
Yataisha lini? jk na serikali yako acheni kuifilisi Tanzania, siyo nchi yenu, ni ya watanzania. Vizazi vijavyo vitatuhukumu...
kitakacho leta vita tanzania sio siasa ni ufaidikaji wa wachache kwenye rasilimali za taifa.itafika kipindi kila mtu atajichukulia chochote anachoona mbele yake ilimradi tu kimsaidie kuishi japo siku mbili tatu.mbaya zaidi ni wale waliopewa dhamana ya kuzilinda ndio hao hao wa kwanza kujineemesha nazo
Gari la serikali lenye namba STK 4394 limekamatwa likiwa limebeba twiga na swala wenye thamani ya sh 55 milioni.
Source twitter #ujangili ippmedia.
My take:
Yataisha lini? jk na serikali yako acheni kuifilisi Tanzania, siyo nchi yenu, ni ya watanzania. Vizazi vijavyo vitatuhukumu...
Kweli inatia uchungu jinsi hawa watawala wahuni wanavyo inajisi TZ, ila punguza hasira kwani waweza jipa magonjwa bure.Hao ni waliokamatwa, maelfu mabgapi ya wanyama wanasafirishwa? In the near future hatutakuwa na watalii wa nje, waje kufanya nini na wanyama wote wako kwao tayari! Yaani wanaofanya hujuma hii ni ma ku...ayo kabisa. Inauma sana na inaudhi sana. Leo hii wananchi wanaoishi karibu na mbuga hata kuwinda sungura kwa ajili ya kitoweo hawaruhusiwi. Pumba.....vu zenu wahusika