Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Kwenye gazeti la Mtanzania la leo kuna habari kuwa gari la wizara ya maji linashikiliwa katika hoteli ya Land Mark kutokana na deni la Sh58 million.
Inaelezwa kwenye habari hiyo kuwa wafanyakazi wa wizara hiyo walikuwa bna mtindo wa kwenda hoteklini hapo kufanya vikao (haikuelezwa vuilihusu nini) bila kulipia gharama mpaka deni hilo likafika kiasi hicho. Juzi walifanya kikao kingine na gharama zake zikiwa Sh6 million (kwa siku hiyo tu) na walipotoka wakajaribu kusomesha kuwa hawana fedha na watakuja kulipa lakini wafanyakazi wa hoteli wakaja juu, wakalazimika kuacha gari hilo kama dhamana!
Inaelezwa kwenye habari hiyo kuwa wafanyakazi wa wizara hiyo walikuwa bna mtindo wa kwenda hoteklini hapo kufanya vikao (haikuelezwa vuilihusu nini) bila kulipia gharama mpaka deni hilo likafika kiasi hicho. Juzi walifanya kikao kingine na gharama zake zikiwa Sh6 million (kwa siku hiyo tu) na walipotoka wakajaribu kusomesha kuwa hawana fedha na watakuja kulipa lakini wafanyakazi wa hoteli wakaja juu, wakalazimika kuacha gari hilo kama dhamana!