mandago shululu
Senior Member
- Mar 24, 2013
- 125
- 37
Gari La Mbunge wa Kwimba kupitia chama cha mapinduzi mh. Mansour limepigwa mawe na kutolewa vioo likiwa linagawa majembe kwa wananchi wa Lunele Jimbo la Kwimba.
Wananchi walifikia hatua hiyo baada ya kukerwa na hiyo tabia ya kuwagawia majembe,kwani walitofasiri kuwa ni Rushwa.
[HASHTAG]#Tunamtakabenakiwahai[/HASHTAG].
Wananchi walifikia hatua hiyo baada ya kukerwa na hiyo tabia ya kuwagawia majembe,kwani walitofasiri kuwa ni Rushwa.
[HASHTAG]#Tunamtakabenakiwahai[/HASHTAG].