dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,125
- 49,384
Umeshaambiwa limekamatwa likisafirisha magemdo halafu unauliza la mbunge wa chama gani; mzima kweli wewe?Wakuu macho kidogo hayaoni vzuri!
Hilo Gari ni la mbunge wa Chama gani ??????
...
Umeshaambiwa limekamatwa likisafirisha magemdo halafu unauliza la mbunge wa chama gani; mzima kweli wewe?Wakuu macho kidogo hayaoni vzuri!
Hilo Gari ni la mbunge wa Chama gani ??????
...
Yeah.....nlitaka kujibiwa kwa msisitizooo kma hvyo ili lumumbaa waskieUmeshaambiwa limekamatwa likisafirisha magemdo halafu unauliza la mbunge wa chama gani; mzima kweli wewe?
Na nilijua unatuzuga tu wewe!Yeah.....nlitaka kujibiwa kwa msisitizooo kma hvyo ili lumumbaa waskie
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua watani zetu lazima tuwazingueNa nilijua unatuzuga tu wewe!
Hata makosa ya barabarani mara nyingi ni ya madereva...
Nilikuambia uwe unazimuankabla hujaingia jf umekua mbishi. Ona sasa unataka had I tukusomee baazi ya mistari.Wakuu macho kidogo hayaoni vzuri!
Hilo Gari ni la mbunge wa Chama gani ??????
Majibu tafadhali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuambia uwe unazimuankabla hujaingia jf umekua mbishi. Ona sasa unataka had I tukusomee baazi ya mistari.
... lingekuwa la Freeman Mbowe, pamoja na kwamba yuko mahabusu zaidi ya mwezi sasa, live press ingeitishwa kueleza jinsi anavyotoa oda akiwa mahabusu magari yake kufanya uhujumu uchumi na wangekwambia wanao ushahidi wote jinsi mtu huyo hatari kwa taifa anavyotoa maelekezo yake.Nilidhani ni gari lake la kutembelea, kumbe gari la Mbao? Sasa mnataka kutuambia Mbunge anaweza kufuatilia magari yake yamepakia nini mda wote? Je, na hizo mbao ni za kwake? Makosa hayo hayawezi kuwa ni ya kwake moja kwa moja kwa sababu tu eti gari ni Lake.
Sasa hivi tungewasikia IGP Siro na Kijana wake Mambosasa wametoka ofisini wanapiga zile amshaamsha za kurusha miguu ili kuitafutia gia hiyo issue, lakini kwa kuwa ni mbunge wa maccm utasikia viongozi wa polisi analitolea ufafanuzi na kusema kwamba hizo tuhuma si za kweli na kesi ndio itakuwa imeishia hapo
Ni gari la Mbunge Ally Ungando ambaye ni Mbunge wa Kibiti kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
......Yeye asema dereva wake ndiye mhusika kwano yeye hakuwa na taarifa za mpango huo na asingeukubali
Na tushukuru Mungu kwa kuwa na hizi Free social medias, Lingekuwa gazeti la Uhuru ndio liko peke yake Habari isingetolewa na tusingekaa tukajua, Idumu JFAmini nakueleza hata angekutwa yeye ndiye anaendesha hilo gari bado angesema yeye siye muhusika, anatekekeza maagizo kutoka juu!!
Sent using Jamii Forums mobile app