Jeshi la polisi mkoani morogoro limelikamata gari la matangazo la CHADEMA mapema jioni hii kwa maelezo kuwa hawawezi kuendelea na mikutano kwa kesho kw sbabu ccm wanamikutano pia nawasilisha
Walikamate tu halina tija kwa taifa
Walikamate tu halina tija kwa taifa
We dhaifu chezea joyce banda weweWalikamate tu halina tija kwa taifa
Nasema hivi, kiama cha ccm kimefika sasa kila hila watakayoitumia itashindikana, hao ccm ni wafa maji ndo maana wanajitahidi kukumbatia mpaka unyasi ili kujiokoa kwa kuwatumia polisi kuua nguvu ya CHADEMA. Tusife moyo Makamanda 2015 nchi ya kwetu.
Ccm ndiyo yenye dola mtakoma bado JWTZ polisi sawa na raia wakakamavu! Labda tumieni twiter na youtube au facebook
Ccm ndiyo yenye dola mtakoma bado JWTZ polisi sawa na raia wakakamavu! Labda tumieni twiter na youtube au facebook