Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,789
- 1,231
Hata kesho FFU watakuwa wengi na magari yao kuzuia mkutano lakini utasikia hakuna polisi wa kutoa ulinzi...tutafika tuu...Kweli bro, na mimi nimeshuhudia jioni hii wafuasi wengi wa chadema w.akiwa pale nje ya kituo cha polisi. FFU nao walikuwa wengi kwenye magari yao. sina hakika kama mbowe atahutubia kesho, maana hali si shwari tena