Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,749
HahahahaOhoooo. [emoji85][emoji85]
HahahahaOhoooo. [emoji85][emoji85]
Yan huyo pengine toka mwaka huu uanze hajaona mbunye..anaujua mkono wake tu[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah
Umenichekesha
ni ushamba ni kufanyiana dharau, hivi kweli wanawake mnajidai alafu unaenda kufanyiwa kwenye gari ??kasi ya warembo aliyonayo hakawii kuwakunja humohumo garini
nanukuu mkuu ktiwa kwenye gari inamzuka asikwambie mtu ile mikunjo ya mule ht kitandani hukaini ushamba ni kufanyiana dharau, hivi kweli wanawake mnajidai alafu unaenda kufanyiwa kwenye gari ??
Mimi bado sina gari mkuu hapa sitii Neno, ila nakumbuka kuna jamaa yangu alipolwa demu na mwenye gari.Mabaharia wenzangu, acheni tu wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petroli au dizeli.
Kaka kaniachia gari lake, yeye yupo nje kikazi toka mwezi wa tatu mpaka sasa navyoandika ujumbe huu.
Cha ajabu wanawake hawachomoi, sio wake za watu wala wanachuo. Haaaa noma sana mi nahisi nyoka na Eva kuna kitu waliongea kuhusu gari au mtalam Zero IQ unasemaje.
Mkuu ushawai kwenye gari?nanukuu mkuu ktiwa kwenye gari inamzuka asikwambie mtu ile mikunjo ya mule ht kitandani hukai
Gari linakupa wanawake au unawatongoza sana kipindi hiki ukiwa na gari? Naomba jibu
Gari limemwongezea confidenceGari linakupa wanawake au unawatongoza sana kipindi hiki ukiwa na gari? Naomba jibu
yeye anadhani gari ndio linalofanya akubaliwe ingekuwa hivyo si tungekuwa tunaingiza funguo kwenye mbunye kui-switch onGari limemwongezea confidence
Mkuu usisahau akirudi huyo kaka urudi humu uanzishe uzi baada ya kupima afya kwa maandishi makubwa tu "GARI LA KAKA LILIVYONIUNGANISHA KTK GRIDI YA TAIFA"Mabaharia wenzangu, acheni tu wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petroli au dizeli.
Kaka kaniachia gari lake, yeye yupo nje kikazi toka mwezi wa tatu mpaka sasa navyoandika ujumbe huu.
Cha ajabu wanawake hawachomoi, sio wake za watu wala wanachuo. Haaaa noma sana mi nahisi nyoka na Eva kuna kitu waliongea kuhusu gari au mtalam Zero IQ unasemaje.
Angalia usiende adi kwa wake za watuMabaharia wenzangu, acheni tu wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petroli au dizeli.
Kaka kaniachia gari lake, yeye yupo nje kikazi toka mwezi wa tatu mpaka sasa navyoandika ujumbe huu.
Cha ajabu wanawake hawachomoi, sio wake za watu wala wanachuo. Haaaa noma sana mi nahisi nyoka na Eva kuna kitu waliongea kuhusu gari au mtalam Zero IQ unasemaje.