nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Jamani tulishaambiwa mda fulani na kusisitiziwa na waziri mkuu hata na rais kuwa magari ya gvt yasitumike kwenye shuguli binafsi,
IELEWEKE SINA CHUKI WALA NA TATIZO NA CG ILA HAKUNA FAIRNESS KWENYE MATUMIZI YA HAYA MAGARI,
kuna watumishi wengi wa umma nahalmashauri wanapataga shida au matatizo ya kuhitaji msaada wa gari ila kuna ugumu unatokea au unajibiwa IMEKATAZWA MAGARI YA SU AU STK KUTUMIKA KWENYE SHUGULI BINAFSI, sasa hii ipoje kuwepo na urahisi wa kupatikana kwa haya magari mtumishi yeyote wa umma apatapo shida sio kutolewa kwa upendeleo bz naamini CG alikua na magari mengine mengi ya kutumia ila aliamua kutumia la serikali na LILISAFIRI SIJUI USIKU mda ambao sijui ni sahihi
IELEWEKE SINA CHUKI WALA NA TATIZO NA CG ILA HAKUNA FAIRNESS KWENYE MATUMIZI YA HAYA MAGARI,
kuna watumishi wengi wa umma nahalmashauri wanapataga shida au matatizo ya kuhitaji msaada wa gari ila kuna ugumu unatokea au unajibiwa IMEKATAZWA MAGARI YA SU AU STK KUTUMIKA KWENYE SHUGULI BINAFSI, sasa hii ipoje kuwepo na urahisi wa kupatikana kwa haya magari mtumishi yeyote wa umma apatapo shida sio kutolewa kwa upendeleo bz naamini CG alikua na magari mengine mengi ya kutumia ila aliamua kutumia la serikali na LILISAFIRI SIJUI USIKU mda ambao sijui ni sahihi