Kova the Great aunde Kamati ya kuchunguza hili. Isije ikawa Noah ilikuwa ya Jambazi la Kenya, na hizo Pembe za Ndovu zilikuwa zinapelekwa kwa Gwajima kutubu au kuombewa.POLISI katika mji mdogo wa Himo, mkoani Kilimanjaro, wamefanikiwa kulikamata gari aina ya Toyota Noah, linalomikiwa na askari mmoja wa polisi likiwa na shehena ya pembe za ndovu. :flypig:
[h=6]POLISI katika mji mdogo wa Himo, mkoani Kilimanjaro, wamefanikiwa kulikamata gari aina ya Toyota Noah, linalomikiwa na askari mmoja wa polisi likiwa na shehena ya pembe za ndovu. :flypig:[/h]
Kova the Great aunde Kamati ya kuchunguza hili. Isije ikawa Noah ilikuwa ya Jambazi la Kenya, na hizo Pembe za Ndovu zilikuwa zinapelekwa kwa Gwajima kutubu au kuombewa.