washa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 626
- 370
Haya yote yanawezekana katika nchi inayoongozwa na raisi dhaifu na chama kilicho choka mbaya!...kila kona pamejaa utata. Ukiachia ya twiga kusafirishwa nje, nasikia jamaa alikwenda hongkong kinyemela kumkomboa mwanae kwa dhamana ya rasilimali zetu.
Ujinga huu mpaka lini?....CCM MUST GO FIRST
Ujinga huu mpaka lini?....CCM MUST GO FIRST