Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,477
Miaka mingi iliyopita tanzania ilikuwa inaunganisha magari ya scania kule kibahaTuliplan kuanza na Tanzania ya viwanda Ila Mambo ya vyeti feki yakaingilia kati ...Hivyo mtupe muda kidogo
Miaka mingi iliyopita tanzania ilikuwa inaunganisha magari ya scania kule kibahaTuliplan kuanza na Tanzania ya viwanda Ila Mambo ya vyeti feki yakaingilia kati ...Hivyo mtupe muda kidogo
Ndugu yangu unaambiwa hapo ni kuunganisha magari bado huamini (Assembling}hapo vipi bado wanafanya asmbly!
Kuna watu ni wabishi awataki kuukubari ukweli ok kuna Meli wametengeneza wa TZ akuna alie pinga lakini nimeweka mpaka Youtube video kuonyesha ninamna gani jamaa wamefanya na nikitu ambacho hata garage za mitaani wana weza kufanya ikiwa tu watakuwa na msomaji mzuri wa ramani na vipimo.Hizo gari zinaitwa KANTAKA , na sio kwamba wanafanya assembly,ni wanaunda magari,na wiki mbili zilizopita kuna mtanzania kaita moja ya hizo gari,
Kuna watu ni wabishi awataki kuukubari ukweli ok kuna Meli wametengeneza wa TZ akuna alie pinga lakini nimeweka mpaka Youtube video kuonyesha ninamna gani jamaa wamefanya na nikitu ambacho hata garage za mitaani wana weza kufanya ikiwa tu watakuwa na msomaji mzuri wa ramani na vipimo.
Asante= hawataki
= kuukubali
= hakuna
= aliye