Gari hizi bei gani jamani?

Gari hizi bei gani jamani?

Asante

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2009
Posts
2,085
Reaction score
1,082
guarder_800_zps6220752b.jpg
 
tro.jpg



BVR bei gani wajameni!!
 
Wajameni nipeni bei !!!

1. Hilo lori linauzwa pesa ngapi wajameni

2. BVR mtaniuzia pesa ngapi wajameni
 
tanzania_BBC.jpg



Malori 777 yanahitajika wananchi watakaa ndani, kwa raha zao wakisubiri kuandikishwa wajameni, nipeni bei.

Show room gani yanapatikana wajameni, nipeni bei

Wajameni nipo soko la mitumba shaurimoyo natafuta BVR, nipeni bei
 


Chonde chonde, nipeni bei wajameni
 
Kukaa bila kazi ni kazi kwelikeeli

Kaeleweka, serikali imeshindwa kuagiza BVR za kutosha watu waandikishwe sababu zoezi linasua sua ila imeweza kuagiza magari 777 ya kumwagia wananchi wake maji ya kuwasha, serikali yetu inaamini kuwa na magari mengi ya police na kuajiri police wengi zaidi ni nafuu kuliko kuitisha uchaguzi wa haki na huru..

Simple as that ajiri waandikishaji 10,000 kama ilivyoshauriwa, nunua BVR za kutosha, wote wanaotaka kuandikishwa,

Itisha uchaguzi wa haki na uwazi, kusiwe na fitna zozote sijui kugawa majimbo kipindi cha lala salama, tangaza matokeo hakuna atakayetoka barabarani kupigana wala kuandamana instead ya kuagiza magari 700 kwa ajili ya kupambana na wananchi wako
 


Chonde chonde, nipeni bei wajameni

[h=1]Plasan unveils the Guarder – an armored carrier for SWAT teams[/h]
Nov 10, 20143178

Plasan has presented today the first of six Guarder high performance armored vehicles ordered by the Sao Paolo police department. The order for the development and delivery of six vehicles for about $9.5 million was announced in June 2014. The vehicles will equip the special weapons and tactics team (SWAT) of the largest city in Brazil.Read more
 
Hapana ndugu, naomba mnipatie bei zake wajameni !!!

Upumbavu at highest level,
Watu wanaacha kununua mashine za BVR wanabaki wananunua magari ya kupambana na raia wasio na silaha. Hivi kweli kwa kipindi hiki priority ni hizo gari washawasha kweli? Stupid.

Bei ya Gari moja ingeweza kutosha BVR za kutosha, ukipiga idadi ya gari 777 hizo BVR zake tungeandikishwa Watanzania wote ndani ya mwezi tu. Ila kwakua watu wanataka kuendelea kushikilia madaraka kwa kisingizio cha uandikishwaji bado ndio maana stupid decisions kama hizi zinafanyika.
 
Viongozi wengi hasa wa nchi Za kiafrika Sijui huwa wanautupa wapi uwezo Wao wa kufikiri waluopewa na Mungu!!!. Tatizo ni kuwa huwa wanadanganyika na kuamini kuwa Mambo ni static - yataendelea kuwa hivyo hivyo. Madhara yake ni kuwa mipango yoyote wanayopanga huifanya kwa kuzibgatia kuwa Wao watakuwa madarakani milele! Matokeo yake ni kuwa silaha walizonunua, mipango waliopanga, sheria walizotunga kwa lengo la kuwakabili wapinzani Wao HUWAGEUKA pale Mambo yanapogeuka! Nchi zote zinazopata shida sio kwamba hakuna Kesho, Polisi, Magereza wala Usalama wa Taifa! Vyombo vyote vya usalama vipo lakini Mambo hubadilika tu...

Kwa jinsi Mambo yanavyokwenda katika nchi hii Nina wasiwasi kama viongozi wa sasa wanataka hali! Mwenye Akili ataona maandalizi yanayofanyika yana nia ovu... Jamani tunawaomba muache michezo hiyo kwa kuwa Tanzania ni nchi ya wote. Kukiwa na Matatizo sote tutapata shida, taabu na mahangaiko.... Mungu ibariki Tanzania
 
Nipeni bei wajameni...

Jana nilitembelea soko la mitumba shaurimoyo, kulizia bvr kit, kumbe pale wanauza nguo na viatu vya mitumba pekee.

Wajameni bado niko mitaani natafuta bei...

Hatimaye nimeambiwa vikao vya maamuzi magumu vilikaa kitambo na kuamua kununua bvr kiti 15,500 kwa gharama ya US$ 7,548.00 kwa moja.

Chungulia hapa dondoo za kikao cha maamuzi.

Nipeni bei wajameni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom