Gari, biashara na nyumba bora kipi?

Gari, biashara na nyumba bora kipi?

manking

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2014
Posts
1,306
Reaction score
316
Habari zenu wadau, hivi karbuni nimelpwa pesa za nssf nilizokuwa nadai kwa muda mrefu na ni mara yangu ya kwanza kushika hela nyingi kama hii toka nizaliwe. Ninapata shida ktk kufanya maamzi sahih kipi kizur nikfanye ambacho kitaniongezea kipato nakubaki siku zote nina hela. Binafsi kuna mambo matatu yananijia kichwani moja wapo nilifanye maana uwezo wa kuyafanya yote sina
1. kujenga nyumba
2. kufanya biashara yeyote.
3. kununua gari

Note: nikokwenye nyumba ya kupanga.

Ushauri plz.
 
Habari zenu wadau, hivi karbuni nimelpwa pesa za nssf nilizokuwa nadai kwa muda mrefu na ni mara yangu ya kwanza kushika hela nyingi kama hii toka nizaliwe. Ninapata shida ktk kufanya maamzi sahih kipi kizur nikfanye ambacho kitaniongezea kipato nakubaki siku zote nina hela. Binafsi kuna mambo matatu yananijia kichwani moja wapo nilifanye maana uwezo wa kuyafanya yote sina
1. kujenga nyumba
2. kufanya biashara yeyote.
3. kununua gari

Note: nikokwenye nyumba ya kupanga.

Ushauri plz.

Umepata shs ngap?
 
Habari zenu wadau, hivi karbuni nimelpwa pesa za nssf nilizokuwa nadai kwa muda mrefu na ni mara yangu ya kwanza kushika hela nyingi kama hii toka nizaliwe. Ninapata shida ktk kufanya maamzi sahih kipi kizur nikfanye ambacho kitaniongezea kipato nakubaki siku zote nina hela. Binafsi kuna mambo matatu yananijia kichwani moja wapo nilifanye maana uwezo wa kuyafanya yote sina
1. kujenga nyumba
2. kufanya biashara yeyote.
3. kununua gari

Note: nikokwenye nyumba ya kupanga.

Ushauri plz.

hujasema ni sh ngap?
ila ungepata hiace nzima vya ktosha uje uku kigambon biashara iyo inalipa,
angalizo wewe uwe dereva au konda.i.e uwemo kt gar
 
hujasema ni sh ngap?
ila ungepata hiace nzima vya ktosha uje uku kigambon biashara iyo inalipa,
angalizo wewe uwe dereva au konda.i.e uwemo kt gar

Nimepata mil.18 mkuu
 
Fanya biashara kwanza utajenga baadae maana mil 18 huwez jenga nyumba utaishia msingi tu
 
hayo ndio matatizo ya "fao la kujitoa" ngoja wachumi waje wakushauri tuliza roho yako JF ni zaidi ya uijuavyo
 
kama haupo tena na hajira fanya biashara kama bado upo na ajira jenga nyumba na kama biashara usiingize pesa yote anza na 5m soma biashara
 
Una kiwanja? Kwa sasa umepanga nyumba ya ukubwa gani?

kama tayari una kiwanja, unaweza kuanza na servant quarter ili ujisetiri. Kwako ni kwako tu mkuu!
 
18m kwa ujenz ndogo make msing wa nyumba ya kawaida nzur ni 5m si lazma ujenge nyumba nzima hiyo ndo
 
Piga m 10
ktk nyumba ndogo, servant quarter, weka m 3 au nne benk afu moja au mbili fanya biashara, usifanye biashara na mtaji mkubwa hutaona ukuaji wake
 
Nimepata mil.18 mkuu

Kwa hiyo hizo nd'o nyingi..??!!! Mbona hazitoshi gari wala nyumba wala biashara labda labda umachinga. Lakini biashara ya magari, mabasi ya safari ndefu, vifaa vya ujenzi, kujenga hospitali au shule; hazitoshi kabisa..!!!
 
Kwa hiyo hizo nd'o nyingi..??!!! Mbona hazitoshi gari wala nyumba wala biashara labda labda umachinga. Lakini biashara ya magari, mabasi ya safari ndefu, vifaa vya ujenzi, kujenga hospitali au shule; hazitoshi kabisa..!!!

hiyo ni nyingi kwangu.
 
Nimepata mil.18

Kuanzisha biashara ni jambo zuri zingatia
1.aina ya biashara
2.location
3.mtaji wa kiasi gani unaingiza
4.mzunguko ukoje
5.wateja
6.uendelevu wa hiyo biashara
kupitia biashara na kiasi kitakachobaki nyumba muhimu sana,mahali ulipo patadetermine mafanikio yako.
 
Una kiwanja? Kwa sasa umepanga nyumba ya ukubwa gani?

kama tayari una kiwanja, unaweza kuanza na servant quarter ili ujisetiri. Kwako ni kwako tu mkuu!

Kiwanja ninacho mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Back
Top Bottom