Gari aina ya Toyota Brevis

Gari aina ya Toyota Brevis

mkuu brevis ni gari za umeme system yake kwaiyo ni rais sana kupata short zinaitaji mafundi makini sana ndio mana kwa bongo hatuziwezi na sikushauli kwanza fuel consumption yake ipo juu na kuuza ni issue kuna jamaa yangu amenunua 12M na sasa analiuza 6M mpaka sasa miez 8 imepita hajapata mteja
nitumie namba ya huyo jamaa nimsaidie kunua hiyo gari anicheki kwa 0765506050
 
Baloon ziliharibiwa soko na gx100

Gx100 zikaharibiwa soko na gx110 grande

Gx110 zikaharibiwa soko na verossa

Verossa zikaharibiwa soko na brevis

Brevis zikaharibiwa soko na mark x

Mark X zinakujaharibiwa na crown athlete

Crown athlete zitaharibiwa na nissan fuga


SAFI SANA MKUU UNA KNOWLEDGE SANA-- nakubaliana na wewe 101% ...
 
hv wabongo mnataka gari itakayokaa maisha?
brevis ni gari zurti tu.Mtu unanunua kutokana na uwezo wako na kipi unataka.luxury au point A to B.
 
Baloon ziliharibiwa soko na gx100

Gx100 zikaharibiwa soko na gx110 grande

Gx110 zikaharibiwa soko na verossa

Verossa zikaharibiwa soko na brevis

Brevis zikaharibiwa soko na mark x

Mark X zinakujaharibiwa na crown athlete

Crown athlete zitaharibiwa na nissan fuga

Mkuu nakubaliana nawewe kwa 9650% hasa kwasababu umeongea ujweli kwa kumuweka mnyama fuga hapo.
Nilitaka kununua Fuga mwaka Jana nikaghairi na kununua Mark X, Fuga nasubiri kama baada ya mwaka hivi najua za mwaka 2010 hadi 2013 zitakuwa zimeshuka bei, lazima nichukue. Hasa Fuga hybrid. Gari tamu sana zile.
 
Brevis mwachie dadako, chukua Vogue 2015, hatari sana hii kitu aisee!
 
Back
Top Bottom