Gari aina ya IST namba D inauzwa

Gari aina ya IST namba D inauzwa

Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako. Yalikuwa mawazo yangu tu ili kuondoa maswali kwa watu.
Usijali chief, pia naomba nikupongeze kwa kuwakilisha maswali ya wengi.
Karibu tena
 
Ushauri mzuri sana lakini sio sahihi.
Kila mtu anaishi ndoto zake haijalishi kwa gharama gani, kitambo nilikuwa viushauri kama huu kuhusu gharama, baadae nikagundua ulikuwa ushauri duni na wa kimasikini.
Watu waishi ndoto zao kwa nafasi zao
Ushimen
You are right mkuu.
 
Karibuni wakuu, gari bado ipo sokoni
 
Naomba nikutowe wasi wasi mkuu, kwa wanao nifahamu hapa JF, nimesha fanya biashara nyingi na watu wengi hapa JF.

Niliamuwa kuziba baadhi ya herufi kwa sababu zangu binafsi, lakini gari ni yakwangu na haijawahi kuhusika na tabia mbaya zenye kuleta mashaka yeyote.

Karibu sana mkuu
Nafikiri hataki kujulikana kama anauza gari maana majirani utasikia kafulia huyo.
Gari bongo.
Hana mafuta huyo.
 
Wakuu, chuma bado ipo sokoni
 
Make: Toyota
Model: Voltz
Year: 2004
Engine 1zz VVTi
Cc 1790 injini ndogo
Full documents
Imported from Japan
Full A/C, Full kipupwe
Tairi zote bado mpya
Price:12.5M
Piga 0719972458
Wasap👉🏿Partager sur WhatsApp

YES, WE ACCEPT ORDERS OF ALL TYPES
YOUR WARMLY WELCOME.🙏🏾🙏🏾🙏🏾

IMG-20200214-WA0012.jpg
IMG-20200214-WA0010.jpg
IMG-20200214-WA0009.jpg
IMG-20200214-WA0014.jpg
IMG-20200118-WA0043.jpg
IMG-20200214-WA0016.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom