Asante mkuu, ebu naomba unichomolee namba huko, ili nione jinsi ya kuwasiliana naeMfuate huyo bargaing yako nimeona kwenye moja ya group za Fb.View attachment 1274709
Asante mkuu, ebu naomba unichomolee namba huko, ili nione jinsi ya kuwasiliana nae
Karibu mkuu ushiMkuu, ebu naomba yingie PM kwa herufi kubwa tafadhali....
mkuu achana na hizo mamboizo zote ni kati, au nichague moja?
gari pendwa katika kujisakia soko. wateja tumejaa. ngoja mpunga uzidi kustawi tupigane vikumbo kwenye ile chomboMkuu ukiuza ile Renault dume nishtue
Naomba nikutowe wasi wasi mkuu, kwa wanao nifahamu hapa JF, nimesha fanya biashara nyingi na watu wengi hapa JF.Gari na bei yake ni nzuri, ila kwa nini umeziba/futa sehemu ya plate number? Kwama gari haina tatizo/wizi, nashauri uweke tu namba zionekane vizuri. Kufuta namba itawaletea watu wasiwasi na maswali mengi
Namba za simu always naziweka wazi kwasababu mimi ni mfanya biashara.Namba za simu umeweka wazi, namba za gari umeficha!!!!!!
Naomba nikutowe wasi wasi mkuu, kwa wanao nifahamu hapa jf, nimesha fanya biashara nyingi na watu wengi hapa jf.
Niliamuwa kuziba baadhi ya herufi kwasababu zangu binafsi, lakini gari ni yakwangu na haijawahi kuhusika na tabia mbaya zenye kuleta mashaka yeyote.
Karibu sana mkuu