Gamers:- imagine you had this setup...!!!!

Gamers:- imagine you had this setup...!!!!

Kapicha tuwekee mkuu
Nilishapost humu kipindi flani. Sio fancy wala maurembo kibao napenda kitu simple and clean.
Nilipost zamani ikiwa hivi
screen.jpeg

ila sasa hivi nimeupgrade monitor nimebeba yenye reshresh rate ya 140Hz. Na Nikanunua gaming mouse na keyboard. GPU natumia GTX1070 sikuona sababu ya kuupgrade maana hadi sasa hivi games zangu zote nazocheza zinasukuma 140FPS.
Sasa hivi iko hivi

kaka.jpeg

Hilo li desktop tower hulioni kwenye picha ya pili kwa sababu nimelijengea sehemu yake yenye ventilation vizuri nikaliweka, ukicheza game GPU inachemka sana na kwa kua natumia normal fans zinazunguka kwa speed so nimeliweka sehemu cool alafu inasaidia kupunguza kelele za fan.
 
mi naona maisha mazuri tu, mnawaza magemu wakati juzi kati mlikuwa mnamlilia magufuli njaa? bora akaze vyuma
 
Hahahahahajaa huyu wa wapi huyu unajua game inaladha kuliko papuchi kwa mfano ndio game zile za mission alaf unebakiwa na energy kidogo alaf ndio upo katika tough stuation hapo hata kama ukiitwa ukaambiwa papuch hii hapa utasema suburi kidogo
Hahah, hapo ukute upo kwenye sniper elite, umeachia risasi af jinsi inavyotoka hadi inavyoenda kuingia kwenye kiungo cha mtu na kukitawanya hadi mwili unasisimka. Kuna siku nlipiga one shot nkaua 5 tangos, aisee nlitaman ingekua kama games za soccer kuwe na replay
 
Nilishapost humu kipindi flani. Sio fancy wala maurembo kibao napenda kitu simple and clean.
Nilipost zamani ikiwa hivi
View attachment 601407

ila sasa hivi nimeupgrade monitor nimebeba yenye reshresh rate ya 140Hz. Na Nikanunua gaming mouse na keyboard. GPU natumia GTX1070 sikuona sababu ya kuupgrade maana hadi sasa hivi games zangu zote nazocheza zinasukuma 140FPS.
Sasa hivi iko hivi

View attachment 601409

Hilo li desktop tower hulioni kwenye picha ya pili kwa sababu nimelijengea sehemu yake yenye ventilation vizuri nikaliweka, ukicheza game GPU inachemka sana na kwa kua natumia normal fans zinazunguka kwa speed so nimeliweka sehemu cool alafu inasaidia kupunguza kelele za fan.
Daaah mkuu umetisha sana. Hiyo cpu ni monster
 
Nilishapost humu kipindi flani. Sio fancy wala maurembo kibao napenda kitu simple and clean.
Nilipost zamani ikiwa hivi
View attachment 601407

ila sasa hivi nimeupgrade monitor nimebeba yenye reshresh rate ya 140Hz. Na Nikanunua gaming mouse na keyboard. GPU natumia GTX1070 sikuona sababu ya kuupgrade maana hadi sasa hivi games zangu zote nazocheza zinasukuma 140FPS.
Sasa hivi iko hivi

View attachment 601409

Hilo li desktop tower hulioni kwenye picha ya pili kwa sababu nimelijengea sehemu yake yenye ventilation vizuri nikaliweka, ukicheza game GPU inachemka sana na kwa kua natumia normal fans zinazunguka kwa speed so nimeliweka sehemu cool alafu inasaidia kupunguza kelele za fan.
Daaah uko vizuli glaph.one day nami Nita IGA maujanja yoko. Salutee
 
Back
Top Bottom