Jumaa gosso
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 188
- 127
Ndio,,sasa nataka ninunue ni shingap

hata jina lake hukijuwi ndugu Ni Ipad
Ndio,,sasa nataka ninunue ni shingap

hata jina lake hukijuwi ndugu Yani mkuu game zilivyotengenezwa zinahitaji utumie akili kuliko wengi mnavyoweza kudhani. Na game nyingi ni mature miaka 17+Itakuongezea nini hiyo zaidi ya kukudumaza akili¿
Haujui unachokiongea wwItakuongezea nini hiyo zaidi ya kukudumaza akili¿
Heri yako wewe unayejua unachokiongeaHaujui unachokiongea ww
Huo ni wivuItakuongezea nini hiyo zaidi ya kukudumaza akili¿
Thread kama hizi sio level zako, tafuta mahala pako.Itakuongezea nini hiyo zaidi ya kukudumaza akili¿
Waliotengeneza hayo madude wana akili kuliko hata yule aliyempigia kura kumuongoza.Wewe wasema, hivi unajua akili inayotumika ku accomplish missions mbali²?
Unacheza zipi Mkuu?2mil? Haha in Tzs au USD? Kama unaongelea tzs then sahau hapo 2mil hata hiyo desktop PC yenyewe hainunui.
Game setup kama hiyo unakuta kila kitu high end. 2mil utaishia kununua GPU labda ukijibana sana unaweza nunua na CPU. Hii setup unahitaji kama 6mil+. Nina setup inakaribia hii sema sina monitor tatu na hiyo driving sababu napenda kutumia monitor moja na sichezi game za magari.
Watu wanaopendelea kucheza sana game huwa wanafikiria na wamechangamka sana kiakili mkuu.. Wako vizuri katika mahesabu!Itakuongezea nini hiyo zaidi ya kukudumaza akili¿
Zinafanya akili iwe active wazungu humwekea vigame vidogo ili kukuza uwezo wake wa kufikili.Yani mkuu game zilivyotengenezwa zinahitaji utumie akili kuliko wengi mnavyoweza kudhani. Na game nyingi ni mature miaka 17+
It depends na sehemu utakayonunulia ila kuna duka flan k/koo mt. Uhuru nafkiri hua wanauza cheapNdio,,sasa nataka ninunue ni shingap
Ndio hapo sasa, uwe kwenye kitu kama call of duty modern warfare unafkiri utajibonyezea tu ma batani ilimradi?hajui akili inayotumika kucheza games, anafikir labda unasukuma tu...
Kabisa mkuuNimeipenda sana hii SETUP.Hapa uhalisia ni 95% hizo tano zinazobaki ni kwa sababu hili ni game sio halisi.
Uko vizuri mkuu2mil? Haha in Tzs au USD? Kama unaongelea tzs then sahau hapo 2mil hata hiyo desktop PC yenyewe hainunui.
Game setup kama hiyo unakuta kila kitu high end. 2mil utaishia kununua GPU labda ukijibana sana unaweza nunua na CPU. Hii setup unahitaji kama 6mil+. Nina setup inakaribia hii sema sina monitor tatu na hiyo driving sababu napenda kutumia monitor moja na sichezi game za magari.