Mkalibari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 659
- 400
Haya kila mtu achangie kwa uwezo wake na atakae onekana kuandika kitu chenye mvuto zaidi ya wengine nitampatia zawadi personaly....
Unatakiwa kutyp neno Ujanja ni....alafu unatuwekea maelezo kwa ufupi!
Mfano: Ujanja ni kuishi bila kunywa pombe!
Ookey
1....2....3.....le goooo!
Unatakiwa kutyp neno Ujanja ni....alafu unatuwekea maelezo kwa ufupi!
Mfano: Ujanja ni kuishi bila kunywa pombe!
Ookey
1....2....3.....le goooo!