Game: Zawadi itatolewa. "UJANJA NI......?"

Game: Zawadi itatolewa. "UJANJA NI......?"

Mkalibari

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
659
Reaction score
400
Haya kila mtu achangie kwa uwezo wake na atakae onekana kuandika kitu chenye mvuto zaidi ya wengine nitampatia zawadi personaly....

Unatakiwa kutyp neno Ujanja ni....alafu unatuwekea maelezo kwa ufupi!

Mfano: Ujanja ni kuishi bila kunywa pombe!

Ookey
1....2....3.....le goooo!
 
ujanja ni kutokula tu wakati wa mfungo.
 
Ujanja ni kuzikamata hela kwa wingi ukiwa bado mdogo
 
Back
Top Bottom