Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
Daa naanza kuisaka aisee, nijionee.Kibongo bongo wengi tulizoea kuangalia series za kimjini mjini na kisasa zenye mateknolojia nk
Hata mimi niliangalia episode ya kwanza sikuelewa nikaipotezea
Nilipopata muda nikairudia with english subtitles
Daah bonge moja la series, hapa naona kama siku 7 mbali jinsi nilivyo miss vituko na vitimbwi
Sent using Jamii Forums mobile app