Gambo, Siyantemi washauri utafiti ufanyike kuona uwezekano wa kutumia damu ya wanyama kwa binadamu

Nothing is impossible. ..if he believes in IT...usikatishe watu tamaa. .
Tatizo ni kwamba aliyesema alikuwa akiwaambia wengine waangalie huko.hakuwa hata serious wala kuonyesha kama ana mtaji kiasi gani wa kufinance hiyo project zaidi y akutafuta umaarufu wa bure kisiasa.
 
Kama hilo linawezekana... Bas biashara ya figo kwishney. Maana ya tumbili haina gharama
 
Utafiti ni huu hapa Kuhusu damu za wanyama wakiekewa binadamu watakuaje?

Damu ya Ngurue damu hii ni nzuri kwa wasiopenda kula,na itakua matched na waindi kwa kula kula.
Damu ya Mbwa damu hii ni nzuri kwa vikosi vya ulinzi hasa polis jamii,migambo,mawatch men,tatizo lake ni kichaa.
Damu ya Bata ni nzuri sana na ubora wa juu hasa kwa vikosi vya majini na vya zima moto.
Damu ya Duma akya damu hii ni nzuri hasa kwa wanariadha na itatuondoa kwenye kichwa cha mwenda wazimu.
Damu ya Nyoka Kwa kweli damu ya nyoka ndio tulio nayo watanzania kutokana na kuburuza mkia sana.
Damu ya Nyani Damu hii sijui wameekewaga wachaga,na wakigoma maaana wanapenda ndizi.
Damu ya Kuku jogoo damu hii walisaekewa watu watanga wakapenda mapenzi zaidi.
Damu ya Mtetea Damu hii isije ekwa kwani wanamwali wa kihaya na wambulu tabia zao twaziju.
Damu ya Fisi asije ekewa mtu. maana inaushoga sana.
Damu ya Punda damu hii inasifa ya kumfanya mtu kua msukule.
Damu ya NGamia viongozi wapimwe maana damu hii ina ufisadii mkubwa sana.
Damu ya Nyumbu walisaekewa watu wa ukawa mafuriko yao tunayajua.
Damu ya kupe/kunguni damu hii waekewe manesi na watoa huduma
Damu ya inzi waekewe kikosi cha kutuliza fujo.
damu ya popo/bundi waekewe wasanii,wachawi ,walinzi nk kutokana na kazi zao usiku
 
Na ndiyo maana hiyo akaumba huyo mtu huyo ng'omba lkn mtu hawezi fananishwa na myama iweje ninyi msema hivyo
 
View attachment 454943

Arusha. Katibu Tawala Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, Robert Siyantemi ameshauri tafiti za kisayansi zifanyike ili kuona uwezekano wa kutumia damu za wanyama kwa binadamu.

Akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa afya wa mkoa ulifanyika wilayani Arumeru chini ya mkuu wa mkoa wa huo, Mrisho Gambo alisema kutokana na changamoto kubwa inayoikabili Wizara ya Afya katika kuijihakikishia usalama wa damu ni bora uangaliwe utaratibu wa kutumia damu za wanyama.

"Mheshimiwa mwenyekiti naamini utafiti umeshafanyika au unaendelea kufanyika nashauri damu za wanyama hasa hawa wanaofanania na binadamu kama nyani, tumbili na kima damu zao zifanyiwe utafiti tuone kama zinaweza kutusaidia," alisema

Siyantemi ambaye alikua miongoni mwa wanachama 42 wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)waliomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kugombea urais mwaka 2015 alijizolea umaarufu akiwa mtia nia kijana kuliko wote.
Hahahaa hakuna mwenye elimu ya afya hata mmoja hapo, duh mgando wa kutosha asee
 
mtaalamu unaweza kuwa specific kidogo?

what are the differencies ambazo zinafanya isiwezekane?

najaribu kutafuta detailed study kuhusu hili sijaona bado
Kaka Blood ni ishu complicated sana na ndio maana hata binadamu hua ngumu kuingezeana sisi kwa sisi, aisee, unasema unajaribu kufanya research sijui hapo unapass muda tu ndugu, damu
1)Grouping
2)Rh factors
3)Cells count
4)Hb levels(with multiplication)
5)..............
It's very broad issue siyo ya kufikirika kirahisi namna hiyo ,daahh aisee sometimes hua nacheka sana hahahahaaaaa mwanasiasa anapojifaragua hahahaaaa aisee hapo Hawakua na wataalam wa maabara au madaktari hususan Dmo's, Rmo's wangewasaidia vizuri tu,
Anyway huu utawala unajua kila kitu, so yangu Macho aisle.
 
Jaribio la kwanza tumuwekee yeye damu ya tumbili tuone itakuwaje
Haha hao tumbili itabidi kwanza wapewe kinga za kutosha za rabies, ebola, na magonjwa mengine ambayo yatajulikana baada ya damu za hao jamaa kutua katika mwili wa binadamu na hao viruses/backeria/cancer cells etc kuwa activate na kuanza uharibifu.
 
mwanadamu ndie kiumbe wa hali ya juu zaidi kuliko viumbe wote damu yake ni tofauti na wanyama..ni vizuri viongozi wakateuliwa wenye busara na hekima hasa wazee sisi vijana ni bado sana kutokana na upeo wa fikra zetu.
 
mwanadamu ndie kiumbe wa hali ya juu zaidi kuliko viumbe wote damu yake ni tofauti na wanyama..ni vizuri viongozi wakateuliwa wenye busara na hekima hasa wazee sisi vijana ni bado sana kutokana na upeo wa fikra zetu.
mkuu hizi nchi zetu, kuna shida.hao wazee ndio walioachia sisi tupate elimu ya ipuuzi na kutoweza jiongeza.Sasa akili ziliwafanya wafanye hizo nazo zilikuwa na shida hivyo hivyo.Ndio maana sisi hatuaminiki duniani.Ndio maana hata tukifanya vitu vizuri,bado ,bado sio assurance kwamba kesho hatutoamka kama mweyeketi wa kamati ya bunge kuhusu richmond, kama spika wetu wa viwango, kama mchumi mfukuzwa wa cuf.km mwenyekiti wetu wa ile tume ya kuja na katiba mpya. Tutalia ubaguzi sana ila waafrica sio reliable, na akiweza deliver leo na kesho bado sio guarantee kwamba hatoamua kuwa mhuni kama mugabe, ghaddafi.Wanachagua njia mbaya tuu na kukomaa nayo, ili kukuonyesha hakuna na cha kumfanya.
 
Tatizo ni kwamba aliyesema alikuwa akiwaambia wengine waangalie huko.hakuwa hata serious wala kuonyesha kama ana mtaji kiasi gani wa kufinance hiyo project zaidi y akutafuta umaarufu wa bure kisiasa.
Ouch! Utani mbaya jamani. ..ZABURI 1:1
 
Utafiti ni huu hapa Kuhusu damu za wanyama wakiekewa binadamu watakuaje?

Damu ya Ngurue damu hii ni nzuri kwa wasiopenda kula,na itakua matched na waindi kwa kula kula.
Damu ya Mbwa damu hii ni nzuri kwa vikosi vya ulinzi hasa polis jamii,migambo,mawatch men,tatizo lake ni kichaa.
Damu ya Bata ni nzuri sana na ubora wa juu hasa kwa vikosi vya majini na vya zima moto.
Damu ya Duma akya damu hii ni nzuri hasa kwa wanariadha na itatuondoa kwenye kichwa cha mwenda wazimu.
Damu ya Nyoka Kwa kweli damu ya nyoka ndio tulio nayo watanzania kutokana na kuburuza mkia sana.
Damu ya Nyani Damu hii sijui wameekewaga wachaga,na wakigoma maaana wanapenda ndizi.
Damu ya Kuku jogoo damu hii walisaekewa watu watanga wakapenda mapenzi zaidi.
Damu ya Mtetea Damu hii isije ekwa kwani wanamwali wa kihaya na wambulu tabia zao twaziju.
Damu ya Fisi asije ekewa mtu. maana inaushoga sana.
Damu ya Punda damu hii inasifa ya kumfanya mtu kua msukule.
Damu ya NGamia viongozi wapimwe maana damu hii ina ufisadii mkubwa sana.
Damu ya Nyumbu walisaekewa watu wa ukawa mafuriko yao tunayajua.
Damu ya kupe/kunguni damu hii waekewe manesi na watoa huduma
Damu ya inzi waekewe kikosi cha kutuliza fujo.
damu ya popo/bundi waekewe wasanii,wachawi ,walinzi nk kutokana na kazi zao usiku
Hata ktk mizaha CCM hawafanyi hawawezi fanya bila najisi. Bahati mbaya wengi ni wale huwa wanajisifia kwamba hawana vichogo.Ila sisi tunawaona kama vichwa vilivyoliwa na zika ktk mimba.
 
mpaka sasa tafiti zinasema jicho la nguruwe n mbadala kwa jicho la mwanadam hvyo yawezekana hata damu yake yaweza ikawa mbadala kwa binadam sasa ikitokea hvyo wale wanaosema 2 makafir cjui itakuwaje!
 
mpaka sasa tafiti zinasema jicho la nguruwe n mbadala kwa jicho la mwanadam hvyo yawezekana hata damu yake yaweza ikawa mbadala kwa binadam sasa ikitokea hvyo wale wanaosema 2 makafir cjui itakuwaje!
Viungo vya nguruwe vingi vimeonyesha mafanikio ya kiasi fulani. Insulin pia inatoka kwa wanyama.Ila ktk suala la damu ni tofauti.Hizi za nguruwe, ni kwamba damu yake inatolewa yote ktk hizo organs.
 
Hayo ni mawazo yaliyofanyiwa kazi barani ulaya na ukarudiwa tena miaka 90 kipidi ukimwi umepamba moto ili wabadikishiwe samu matokeo yake damu ikagundika wanyama hao kwenye damu kuna vitu vya asli vimo na yy havimuathiri lakini vikiingia kwenye mwili wa binadamu vinaleta madhara! Someni majarida mbali mbali mpate maujuzi siyo paka usomee!
 
Back
Top Bottom