Gambo ‘kwa unyoonge’ akabidhi ofisi Arusha

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,900
95,168
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na kutumbuliwa Mrisho Gambo leo amelazimika kukabidhi ofisi kwa mkuu wa mkoa mpya kiunyonge kabisa.

Inauma lkn hana jinsi maana hakujua kuwa cheo ni dhamana, ubabe na vitisho sasa atavifanyia uraiani akapambane na wana R-chuga.
Screenshot_20200701-164151.jpeg
Screenshot_20200701-164120.jpeg
 
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na kutumbuliwa Mrisho Gambo leo amelazimika kukabidhi ofisi kwa mkuu wa mkoa mpya kiunyonge kabisa.

Inauma lkn hana jinsi maana hakujua kuwa cheo ni dhamana, ubabe na vitisho sasa atavifanyia uraiani akapambane na wana R-chuga. View attachment 1494435View attachment 1494437

Kama hata Wiki tu haijakatika vizuri ameshaanza Kukonda hivi vipi ukipita Mwezi kabisa si anaweza kuwa amekondeana kama Fido Dido kabisa?
 
Watu wajifunze kitu;
Gambo 24/7 aliipigania ccm na kudhoofisha upinzani, kiasi kikubwa amefanikiwa lakini hakuna aliyesikitika wala kumwonea huruma sio ccm wala upinzani...umejifunza nini?
Haki pekee humtetea mtu awe hai au mfu
 
Arusha huwa inawatia nuksi sana ma-RC wababe na wenye nyodo kama Gambo. Namkumbuka RC Mulongo enzi za Kikwete, aliyehudumu kwa nyodo na tambo nyingi sana pale Mwanza na baadaye akapelekwa Arusha. Sasa hivi yupo Bagamoyo amefulia mpk anagongea kahawa na kashata
 
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na kutumbuliwa Mrisho Gambo leo amelazimika kukabidhi ofisi kwa mkuu wa mkoa mpya kiunyonge kabisa.

Inauma lkn hana jinsi maana hakujua kuwa cheo ni dhamana, ubabe na vitisho sasa atavifanyia uraiani akapambane na wana R-chuga. View attachment 1494435View attachment 1494437
Cheo dhamana leo uko ofisini kesho mtaani!!
Je uliishije na wanamtaa?
 
Mkuu mvizie upate kapicha kake hapo bagamoyo utuwekee hapa tujikumbushe mzee wa nyodo kutoka kyabakari
Arusha huwa inawatia nuksi sana ma-RC wababe na wenye nyodo kama Gambo. Namkumbuka RC Mulongo enzi za Kikwete, aliyehudumu kwa nyodo na tambo nyingi sana pale Mwanza na baadaye akapelekwa Arusha. Sasa hivi yupo Bagamoyo amefulia mpk anagongea kahawa na kashata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom