NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
ujinga faida.....
Fake hai respond kabisa hicho kitu!
ila wadau naomba kuuliza nini maana ya clone?!! au maana yake ni ya mchina?
maana naona hii simu kila kitu kinakubali kama galaxy nyingine na ipo faster tu, ram 2gb,memory 16gb, camera ni 13mp, ina playstore na nadownload vizuri tu,pedometer ipo,hear beat sensor ipo, compass ipo,fingerprint pia ipo, kwa anaejua ubovu wake anijulishe mapema tafadhali ili niiweke vizuri niiuze maana bado ni mpya kabisa kwenye box lake
Sasa hizo clone zina warranty?maana kila kitu sawa??
Mimi sijui hii ya kwangu ndio hizo au lah, ninachojua ni kwamba ntaitumia tu, ni Galaxy Grand, ndio niko nayo hata sijaifungua nikaona huu uzi nimeshia kutetemeka tu, sijanunua Dar nimemuagiza mtu from abroad...how do I know kwamba ni original au Clone?
Sa we ufake wake uko wapi na kitu gan kimekufanya ujue ni fake
Hahaha Eli usinifurahishe
Kwani imeagizwa nchi gani?
Maana simu from some countries ni super brand
Ebu tueleze umeagiza from where
Mkuu visikuumize kichwa kwani jf siinaingia na mitandao mingine? Je simu haupokei? Zote mbwembwe tu hizo kibaya nikununua kiti fake kwabei ya original lakini kama uneisha nunua usitetemeke! Mimi hapa nimeambiwa S4 original inamgowa crome ya chuma sasa yangu imeishazeeka naona ni plastic inamaana nimeisha pigwa! Kwani kwa vigezo clone zina vigezo vyote nakama ni duka huwezi kuanza kuchubua simu ya watu eti kutizama kama ni chuma au plasitic au kuomba computer uingie katika site kuulizia specifications hiyo simu wengi wameishaumizwa!Mimi sijui hii ya kwangu ndio hizo au lah, ninachojua ni kwamba ntaitumia tu, ni Galaxy Grand, ndio niko nayo hata sijaifungua nikaona huu uzi nimeshia kutetemeka tu, sijanunua Dar nimemuagiza mtu from abroad...how do I know kwamba ni original au Clone?
made in korea by samsung....ndivyo imeandikwa ivo
huwezi kujua simu fake kwa upande wa software hii ni android kila kitu kinaweza kubadilishwa hadi imei, hizo imei na namba mnazobonyeza si kigezo cha kujua simu fake sababu wachina nao sio wajinga wanazieka na wao hizo namba. kama mtu kaweza kuclone simu nzima ndio atashindwa kueka lcd test? tumia tu akili ya kuzaliwa.
njia ya uhakika ya kujua simu fake ni kwa kuangalia hARdware zake kuanzia processor, ram, internal memory na hizi haziangaliwi kijuujuu inabidi utumie njia maalum maana wanaweza kuandika simu ina 2gb ram kunmbe ina 512mb wanaweza kukwambia ina exynos kumbe ina mediatek. download app inaitwa cpu z itascan hardware na kukuambia kilichomo ndani
kwa maelezo zaidi angalia hapa
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...or-ya-simu-na-kuijua-simu-fake-android-3.html
mkuu nilikuwa nacheki youtube kuna clip nyingi tu wanaelezea hidden features za s5..baada ya kuangalia ndip nikawa nazitafuta kwenye clone yangu nikazikosa...feature zenyewe ni kama remote control, single hand use, modes za camera, increase sensitivity ( ukiset on hii inafanya screen touch irespond na kitu chochote kile,kijiko,kisu,msumali,peni ,hata ukiwa umevaa gloves we unaclick tu),na nyinginezo kibao
mkuu asante sana..ngoja nidownload hii software ili nijue kama na izi memory 16gb,ram 2gb na vikolokolo vingine i=ni vya kweli au lah!! kama si vya kweli walah naivunja
Hahaha hasira haSara usivunje
Uza kwa bei ya haSara tu kuliko kuvunja kabisa
Kujua simu original bonyeza *#0*# chagua sensor then sogeza mkono wako itavibrate utaiona rangi ya kijani vizuri
Lakini pia kwa simu yyt ya android unakwenda kwenye application→setting→about device/phone→ android version then fanya kama una-i-touch several time bila kuacha kuachia gap ike double clicking, ita respond kwa kuonesha icon ya android na kuonesha version ya android ya simu husika. Hiyo version itatokea kwa ku-popup.
Hahaha Eli usinifurahishe
Kwani imeagizwa nchi gani?
Maana simu from some countries ni super brand
Ebu tueleze umeagiza from where