Galaxy s5..nimeingizwa cha kike

Galaxy s5..nimeingizwa cha kike

Nipe hiyo s5 clone nikupe laki moja cash mkuu. Ncheki 0714-408238. Au kama vipi nipe hyo s5 nkupe huawei ascend y200 nimetumia miezi 2 tu, ipo fresh kama mpya.
 
Sasa kama iko vizuri kiasi cha kukufool endelea tu kuifurahia kwani unapoteza nini?
 
Ha ha ha haaa, noma ni kununua clone kwa bei ya original, Mimi ya kwangu ni clone lakini kama original vile na natamba nayo nimechukua kwa 150k tu,hizi ni za mediatek wakuu
 
hebu sometimes tutumie Logic howcomes simu ya Million 1 uuziwe Laki Tano automatic itakuwa Forgery
 
Ha ha ha haaa, noma ni kununua clone kwa bei ya original, Mimi ya kwangu ni clone lakini kama original vile na natamba nayo nimechukua kwa 150k tu.

NIPE JINA NA CONTACT ZA DUKA ULONUNULIA S5 CLONE MKUU NAMI NKANUNUE.
 
S5 original imeandikwa internet kwenye kile kidunia lakini S5 clone imeandikwa Browser
 
s5 mfuniko una rubber ya kuzuia maji kuingia kwenye simu,flash ya camera rangi ya njano iko ndani sana na inang'aa,contrast ni nzuri kwa origianal. Fake haina rubber kwenye mfuniko wa betri,njano iko juu kwenye flash tena mpauko,contrast imepaukaa.pia kujua original install cpu-z itakuonyesha processor.
 
mkweli wa mambo km umeshadownload hyo cpu z leta mrejesho wa ukwel wa mambo hapa,,haha

Tayari kaka..dash kweli nimeomba lift kwenye karandinga la wajeda..
Janga jingine ni betri yake wadau yaaan ikiwa full inakaa name chaji Massa mawili tu?! Ebu nambie clone ndo tabia zake au hii betri kimeo? Name je betri nyingine original zinapatikana?
 

Attachments

  • 1403543734045.jpg
    1403543734045.jpg
    23.7 KB · Views: 180
  • 1403543765990.jpg
    1403543765990.jpg
    48.7 KB · Views: 165
  • 1403543816587.jpg
    1403543816587.jpg
    36.7 KB · Views: 168
Last edited by a moderator:
Yaan kama clone undo ina raha hiv najaribu kuvuta picha original itakuaje...maana ni clone ila name enjoy sana name speed yake ya internet..JF nikigusa tu kitu kimeitika...lazima ninunue original wallah....hili ni fundisho tu nimelipata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom