Galaxy s5..nimeingizwa cha kike

Galaxy s5..nimeingizwa cha kike

hahahahaa Mpwa sasa mbona unanicheka tena? Ni Dubai na hawa jamaa huwa siwaamini sana ndio maana

Hahaha umenifurahisha sana
Hata kabla hujafungua box Tayari usha tetemeka
Ila kama ni from Dubai. ..hiyo nadhan ni ya uhakika
 
Yani huu uzi umenifurahisha nimecheka hadi badi utadhani nipo cheatchat maana watanzania tunaonewa sana na hawa macho madogo (chines) Unaona nchii itakuwa imeisha umizwa sana hata yale mavifaru ya sherehe za muungano nayo ni clone tu!
 
Yani nikitaka kununua simu ya zaidi ya 300,000 naenda kwa wakala moja kwa moja.

Headache sitaki
 
Jamani galaxy s5 clone ni mwiho wa clone. kuna jamaa kaniletea nimfanyie mambo, duh! kila kitu kama original
mkuu nikushauri ,pamoja na yote kinachoumiza sana ktk smartphone ni speed lakini s5 clone inarun 3G mpaka H+
 
tofauti kubwa kati ya S5 original na clone ni kwamba unapozigeuza geuza kwenye mwanga S5 original huonesha rangi ya dack-bluu simu ikiwa imezimwa but kwa S5 clone huonesha black..
hiyo ndio tofauti kubwa kuliko zote na hiyo ni rahisi kutambua tofauti kati ya ORIGINAL NA CLONE
pia zoezi hili waweza kutumia kwenye S3 na ,S4 pia
 
Only way to identfy original samsung galaxy is by
1😛ut phone in download mode (fake cant )
2:connet phon in computer by using samsung kies software (fake wont be recognised by samsung kies)
 
tofauti kubwa kati ya S5 original na clone ni kwamba unapozigeuza geuza kwenye mwanga S5 original huonesha rangi ya dack-bluu simu ikiwa imezimwa but kwa S5 clone huonesha black..
hiyo ndio tofauti kubwa kuliko zote na hiyo ni rahisi kutambua tofauti kati ya ORIGINAL NA CLONE
pia zoezi hili waweza kutumia kwenye S3 na ,S4 pia

Hyo nimeikubali mkuu
 
Original pekee inaweza kuonuesha hii screen ukiiweka kwenye download mode
 

Attachments

  • 1403378004702.jpg
    1403378004702.jpg
    55.3 KB · Views: 186
Only way to identfy original samsung galaxy is by
1😛ut phone in download mode (fake cant )
2:connet phon in computer by using samsung kies software (fake wont be recognised by samsung kies)
Wewe unaongelea wanazouza barabarani clone ya dukani inafanya vyote hivyo! Sema lingine.
 
Shida yote ya nini wakuu mpaka uanze kukariri njia za kujua simu original!!! Nenda kwa authorized dealer nunua kitu cha uhakika unapewa na warrant,tusipende vya bei rahisi vina gharama.
 
Usiongee bila ushaidi unajua hata download mode inawekwa vipi? Umewahi kufanya mwenyewe kwenye clone ikakubali?advanced clone ni s5 & haiwez kuingia download mode.ni kaz yangu ninayoifanya kila siku.am speak frm exprnc
 
Only way to identfy original samsung galaxy is by
1😛ut phone in download mode (fake cant )
2:connet phon in computer by using samsung kies software (fake wont be recognised by samsung kies)

vipi kuhusu kutuma imei kwenda 15685 ambapo utakua unaisajili na kupata Samsung 2 yrs warranty?
crone nazo zinakubali? maana iyo short code ni ya Samsung east Africa
 
Tumia cpu z then galaxy s4
ukakuta CPU ni MediaTek instead of
exynos, just know kwamba
umenunua clone.
 
heeeeh mie hoi hapa! hivi na hizi sumsung zenye double line ni origional kweli?
 
Wadau mambo niaje,
ebhana jamani mwenzenu nimeingizwa cha kike, nimenunua Galaxy s5 nikadhani original maana njia zote za kutest simu original nilifanya na iyo simu ikakubali ndipo nikainunua kwa mihela mingi tu...Ila nilipoenda kuitumia ndo nikagundua ni tofauti na galaxy s5 original, maana niliangalia features za original kwenye youtube nikagundua ya kwangu haina features za namna iyo..ndipo nikaangalia kwenye mitandao nikaona kuna galaxy s5 model kama yangu ( G 9006V ) wanaizungumzia wenyewe wanasema sijui ni clone ya s5, daah imeniuma sana wadau.
NATAFUTA MTU kama anaitaka anirudishie hata nusu ya ela yangu tu..maana sijazoea kutumia fake na pia stimu zote za kuitumia hii simu zimekata.

Njia gani ulitumia? Clone mbona zinajulikana kwa kuzishika tu. Jifunze kutumia IMEI No kutambua simu kama ni Original or Original fake or fake. Pole sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom