K KakaNanii JF-Expert Member Sep 28, 2008 325 52 Mar 24, 2011 #1 Inaijua hii ? Attachments GAHAWA.jpg 51.1 KB · Views: 272
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,638 4,522 Mar 24, 2011 #2 Unantamanisha baba..............hapo unakuwa na kashata pembeni..
P Percival JF-Expert Member Mar 23, 2010 3,357 2,134 Mar 24, 2011 #3 Hii starehe no 1 ; kikombe cha kahawa na huku unaangalia ndunia inavyo kwenda
shiumiti JF-Expert Member Jun 4, 2009 435 19 Mar 24, 2011 #4 Sheria ya kahawa kama hii, utakiwa kuwa na kikombe kikubwaaa!!!! SAFI SANA KIJIWENI HIYOOO
Buswelu JF-Expert Member Aug 16, 2007 1,998 352 Mar 24, 2011 #5 Kikombe kama hicho kwanza hakina mshikio ndio raha yake..pili...ni ya moto tatu uwe na sandals..tayari kwa lolote....nne ..............malizia
Kikombe kama hicho kwanza hakina mshikio ndio raha yake..pili...ni ya moto tatu uwe na sandals..tayari kwa lolote....nne ..............malizia
Revolution JF-Expert Member Feb 28, 2008 791 551 Mar 25, 2011 #6 Wengi tunapenda lakini hawa watu wanaouza sio wasafi kabisa.