Dah mbn tunazdi poteza ulinzi yanga !!🤔Wakuu hizi habari za Gadiel kutua msimbazi ni za kweli? Nimeona Shaffie kama kawaida yake mzee wa underdog kapost...
Sasa kama pesa hauna unamiliki vp vitu vizuriDah mbn tunazdi poteza ulinzi yanga !!
Halafu yule kipa wenu mkenya amekanusha kusaini. Haaaaa haaaaDah mbn tunazdi poteza ulinzi yanga !!🤔
Ushahidi pliiizHalafu yule kipa wenu mkenya amekanusha kusaini. Haaaaa haaaa
Yeye katoa wapi hizo habariWakuu hizi habari za Gadiel kutua msimbazi ni za kweli? Nimeona Shaffie kama kawaida yake mzee wa underdog kapost...
Gadiel ni hatari,akirejea uwanjani huyu Kapombe. Hakuna timu bongo itatoa hata droo n
Sasa kama pesa hauna unamiliki vp vitu vizuri
[/QUO
tatzo ni hulka zao tu mbona Yanga pesa zipo
namuomba ushahidiYeye katoa wapi hizo habari
Unauhakika!?Halafu yule kipa wenu mkenya amekanusha kusaini. Haaaaa haaaa
Dah mbn tunazdi poteza ulinzi yanga !!🤔
yanga hatupo serous mjue
Yanga na Simba zifanye umafia ajikute anasajiliwa NamungoWachezaji wa Tanzania sijui huwa wanaogopa nini? Kwa nini wanashindwa kuwa wawazi kwamba mimi naondoka msimu ujao siyo leo unataka dau hili timu inakubali dk za mwisho unagoma unapandisha wanakubali,then unapandisha tena. Kuweni proffessional na msimamo,hakuna klabu inayo zuia mchezaji anae maliza mkataba kwenda anapo pataka. Lakini siyo kupotezeana mkataba.