Hajui mpira. .hana ball control. .mguu wa kulia hata kureceive mpira hawezi...bogus tuGadiel ni hatari,akirejea uwanjani huyu Kapombe. Hakuna timu bongo itatoa hata droo na mnyama
Sema simba hampo serious kulazimisha pesa za mnyaturuyanga hatupo serous mjue
Atakua shabiki wa YangaHajui mpira. .hana ball control. .mguu wa kulia hata kureceive mpira hawezi...bogus tu
Kwangu mimi Tshabalala ni bora kuliko GadielHajui mpira. .hana ball control. .mguu wa kulia hata kureceive mpira hawezi...bogus tu
Wacha unafiki, alipokuwa Yanga alikuwa boya na hafai sasa kaja kwenu ndiyo mnashupaza bonge LA beki. Watz unafiki huu hatuwezi endelea.Gadiel ni hatari,akirejea uwanjani huyu Kapombe. Hakuna timu bongo itatoa hata droo na mnyama
Mikia bana
Kweli ni mbumbumbu
Akiwa yanga walisema hamna beki pale
Unanilisha maneno mbona,una ushahidi wa mimi kusema hayo?Wacha unafiki, alipokuwa Yanga alikuwa boya na hafai sasa kaja kwenu ndiyo mnashupaza bonge LA beki. Watz unafiki huu hatuwezi endelea.
Na alipokuwa kwenu mlisema bonge la beki anakuja simba mnasema hajui mpira...huu unafiki mbona hamjaanza kwanza nyinyi kujifunza kuuachaWacha unafiki, alipokuwa Yanga alikuwa boya na hafai sasa kaja kwenu ndiyo mnashupaza bonge LA beki. Watz unafiki huu hatuwezi endelea.
Na ombaomba fc alivyoondoka mmeanza kusema hajui mpiraMikia bana
Kweli ni mbumbumbu
Akiwa yanga walisema hamna beki pale
Hata mimi mkuu... Gadi sometime hata kros anapiga butu... Zimbwe anapanda.. Anapunguza na kurudi fasta.Kwangu mimi Tshabalala ni bora kuliko Gadiel
Sijaona duniani mchezaji mkataba haujaisha anasajiliwa timu nyingine . Huu ni uhuniWachezaji wa Tanzania sijui huwa wanaogopa nini? Kwa nini wanashindwa kuwa wawazi kwamba mimi naondoka msimu ujao siyo leo unataka dau hili timu inakubali dk za mwisho unagoma unapandisha wanakubali,then unapandisha tena. Kuweni proffessional na msimamo,hakuna klabu inayo zuia mchezaji anae maliza mkataba kwenda anapo pataka. Lakini siyo kupotezeana mkataba.
Ukisikia mkanganyiko Ndio huuKazi bado ipo!View attachment 1148586
Taarifa za bongo ni pasua kichwa!Halafu yule kipa wenu mkenya amekanusha kusaini. Haaaaa haaaa
Anaonekana Kagame Cup na timu yakeTaarifa za bongo ni pasua kichwa!