Mkubwa wao alikuwa anawachagulia wanaume wa kullala nao, mbali na Ghadafi mwenyewe wapambe wa Ghadafi!!!!!!!!! Vile vile walitumika kuuwa watu wengi, mmoja wao alikuwa anashuhudia, professional killers!!!!!
Kwa kukusaidia tuu , walikuwa bikra!.Hawa walikuwa "watumwa wa ngono" wa Col. Gaddafi ... Na ndiyo maana dakika za mwisho hakuonekana akiwa na hata mmoja pembeni yake!
Labda wako chini ya aridhi futi ishirini, unacheza na Ghadafi wewe????????Mtu atakayeweza kuwapata hawa wadada akawahoji na kuandika kitabu kuhusu wao atapata fedha ya kutosha maana wengi wanapenda kujua Gadafi alikuwa anawapataje na walikuwa wapi siku anauwawa
Mwanamke akiwezeshwa anaweza!!!!
Mkubwa wao alikuwa anawachagulia wanaume wa kullala nao, mbali na Ghadafi mwenyewe wapambe wa Ghadafi!!!!!!!!! Vile vile walitumika kuuwa watu wengi, mmoja wao alikuwa anashuhudia, professional killers!!!!!
yap, you are right.na ni lazima awapitie kwanza ndo wanakuwa walinzi wake.i heard one of the condition before they become his bodyguards is they have to be virgins!!