Gaddafi uso kwa uso na waandamanaji

Mujumba

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
853
306
Kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gadaffi awataka wafuasi wake kujitokeza barabarani na kuwatimua waandamanaji wanaoipinga serikali yake.source BBCSWAHILI
 
PHP:
Kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gadaffi awataka wafuasi wake kujitokeza barabarani na kuwatimua waandamanaji wanaoipinga serikali yake.source BBCSWAHILI

Jamani hi sasa ndiyo uso kwa uso au............nia ni kupambana huko mbeleni lakini siyo uso kwa uso.............................
 
(GMT+08:00) 2011-02-23 18:01:15

Vurugu ziliyosababishwa na maandamano yaliyofanyika kwa siku mfululizo nchini Libya imesababisha vifo vya zaidi ya watu mia moja. Kiongozi wa Libya Bw. Muammar Gadhafi tarehe 22 alitoa hotuba akisema, kamwe hatajiuzulu na hataondoka nchini Libya katika siku za baadaye, bora awe mtu wa kujitolea mhanga.
Serikali ya Libya jana usiku ilitangaza kupitia televisheni ikisema, vurugu hizo imesababisha vifo vya raia na askari 300, lakini takwimu kutoka televisheni ya Al Jazeera zilionesha kuwa watu 500 wamefariki kutokana na vurugu hizo na wengine 1, 400 hawajajulikana walipo. Habari nyingine zinasema, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa tarehe 22 liliitisha mkutano wa dharura kuhusu hali ya Libya, na kuitaka serikali ya Libya ikomeshe mara moja vurugu hizo na kukidhi matakwa halali ya wananchi hatua kwa hatua.
 
PHP:
Kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gadaffi awataka wafuasi wake kujitokeza barabarani na kuwatimua waandamanaji wanaoipinga serikali yake.source BBCSWAHILI

Jamani hi sasa ndiyo uso kwa uso au............nia ni kupambana huko mbeleni lakini siyo uso kwa uso.............................

Na ingekuwa kweli uso kwa uso labda angekwishapelekwa kwa Mola wake.
 
Back
Top Bottom