PakavuNateleza
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 1,104
- 1,294
Peoples Power in Libia itashindwa.True story mark my word
Peoples Power in Libia itashindwa.True story mark my word
Kweli mkuu sasa kapunguza munkari naona kachoka kabisaaa,miwani chini miwani juu tafrani tupuKapunguza munkari sasa, kachoka, naona moja haikai mbili haiingii, anabadilisha miwani tu! jamaa anasema yuko tayari kutumia violence
this is the last throw of the dice,Gaddafi is using oratism to try to sway the nation to his side,this could as well be the greatest comeback of all time.He is using revolutionary terms to justify his position and to cap it all HE is ready to die a matyr rather then abandon ship
wewe mpasuajipu mwakilishi wa bububu upo eh usilale kama komba au ukapenda kunukuu kama nyambari nyangwineHuyo mfa maji huyo mwache apayuke maji yakijaa tumboni atazimika mwenyewe tu.
Hakuna presha naye anakufa huyo taratiiiibu, ganzi imeshamwingia miguuni anakatika anytime wewe subiri tunahesabu siku tu.
Kwa leo atautumia muda huo kufoka hadi afe. Kama hata kufa leo, ataenda kufia mbelekwa mbele kishujaa kama anavyosema! Shujaa unaua watu wako? Kama ni shujaa si unarusha kombora huko kwa unaowafokea?
wewe mpasuajipu mwakilishi wa bububu upo eh usilale kama komba au ukapenda kunukuu kama nyambari nyangwine
Mkuu hapa napingana na wewe kwa sauti kubwa sana!!! Huyu atatoka tu,hata pachelewe lakini ni lazima atatimkaPeoples Power in Libia itashindwa.True story mark my word
Ni kweli alijiona mungu mtu na sasa kakalia kuti kavu tena la motoHuyu mwarabu alijiona mungumtu...sasa yamemfika, ni maumuisho ya laana nyingi mno kwa matendo na maneno yake mengi maovu......
Nyau mkubwa, alileta askari wake kumsaidia Idd Amini.......
Amesema yeye ni masikini,hana kitu-how many presidents in africa can say this-maybe Nyerere from beyond the grave
Amesema yeye ni masikini,hana kitu-how many presidents in africa can say this-maybe Nyerere from beyond the grave
Huyu mwarabu alijiona mungumtu...sasa yamemfika, ni maumuisho ya laana nyingi mno kwa matendo na maneno yake mengi maovu......
Nyau mkubwa, alileta askari wake kumsaidia Idd Amini.......