Gaddafi makes bizarre TV appearance!

Gaddafi makes bizarre TV appearance!

hahaha, kila mtu ajichukulie mafuta na afanye atakavyo,kweli kituko
 
Mkuu jasiri hivi wewe si uingie mtaani hapa Tanganyika ama huna linalokupa shida katika nchi hii, kuna mengi hebu sema hata umekerwa na mgao wa umeme!! jamani hebu tuwe wakweli msirubuniwe tu na media ambazo nyingi ni kama Mtanzani, Rai na the African!! hawa hawawezi kuandika lolote against Rostam, sasa libya wako vizuri sana sio kama hapa ndio mana nashangaa why wamfukuze huyu mzee!!
 
Nimeipenda hii

Col Gaddafi urges supporters to take to streets: "If these cockroaches continue they will return Libya to the darkness of 50s."
 
nimemckia anavyofoka
inasadikiwa kuwa ana uwezo wa kuongea for 4 hrz
 
Which good leader kills his own people. He is a ranting lunatic who will do anything to keep his hands on the honey jar.Watu wamechoka
naye 42 years and a good leader??If America is so bad why is everyone asking why the US is not helping the poeple of Libya. He just support the other African dictators.
We have elections in this part of Africa whether free or not. The Libyan people deserve the same.I am in shock that you would call him patriotic
what is patriotic about him?Fafanua
 
Libya matibabu bure,elimu mpaka university bure na huduma zingine nyingi tuu!na wanarasilimali ya mafuta tuu!sisi tuna madini,wanyama pori,misitu,maziwa makubwa africa,bandari 3,ardhi nzuri ya kilimo,mito ya kumwaga lakini hatuna faida na lolote kazi kuvaa tshirt na kofia za kijani na njano
 
Mkuu jasiri hivi wewe si uingie mtaani hapa Tanganyika ama huna linalokupa shida katika nchi hii, kuna mengi hebu sema hata umekerwa na mgao wa umeme!! jamani hebu tuwe wakweli msirubuniwe tu na media ambazo nyingi ni kama Mtanzani, Rai na the African!! hawa hawawezi kuandika lolote against Rostam, sasa libya wako vizuri sana sio kama hapa ndio mana nashangaa why wamfukuze huyu mzee!!
Mkuu tatizo la huyu jamaa ni kuwa amekaa sana madarakani mpaka amelewa,pili anamambo ya kibabe
 
he has been in power since 1969 and he think his people will let him rule for the rest of his life? this is wat happens when a leader wants to rule forever, they r alwyz taken out by force! ohh poor africa god bless us
 
Sasa anasema kuwa yeye bado ajaanzisha bifu,ila anaona kama vile watu wanamtaka alianzishe!
na yuko teyari kulianzisha
 
Mkuu jasiri hivi wewe si uingie mtaani hapa Tanganyika ama huna linalokupa shida katika nchi hii, kuna mengi hebu sema hata umekerwa na mgao wa umeme!! jamani hebu tuwe wakweli msirubuniwe tu na media ambazo nyingi ni kama Mtanzani, Rai na the African!! hawa hawawezi kuandika lolote against Rostam, sasa libya wako vizuri sana sio kama hapa ndio mana nashangaa why wamfukuze huyu mzee!!

Njoo tuingie wote mtaani basi..
 
Kapunguza munkari sasa, kachoka, naona moja haikai mbili haiingii, anabadilisha miwani tu! jamaa anasema yuko tayari kutumia violence
 
Gadaffi is the leader and the ruler I admire.I had been in Libya sometimes back and what he says about economy is true story.Walibya waache kufata mkumbo itawacost.Gadaffi anamaanisha anachokisema kwa vitendo that is true story
 
Mkuu jasiri hivi wewe si uingie mtaani hapa Tanganyika ama huna linalokupa shida katika nchi hii, kuna mengi hebu sema hata umekerwa na mgao wa umeme!! jamani hebu tuwe wakweli msirubuniwe tu na media ambazo nyingi ni kama Mtanzani, Rai na the African!! hawa hawawezi kuandika lolote against Rostam, sasa libya wako vizuri sana sio kama hapa ndio mana nashangaa why wamfukuze huyu mzee!!
Mkuu hayo wewe wasema , lakini waLibya nao wananena , yawezekana unaouona uzuri ni relative na mambo yetu ya hapa si ule ambao wa Libya waliutarajia.
 
he has been in power since 1969 and he think his people will let him rule for the rest of his life? this is wat happens when a leader wants to rule forever, they r alwyz taken out by force! ohh poor africa god bless us
Now he must go,and his days ar numbererd. For him now is like no body in no body out! darkness days and sad
 
Gadaffi is the leader and the ruler I admire.I had been in Libya sometimes back and what he says about economy is true story.Walibya waache kufata mkumbo itawacost.Gadaffi anamaanisha anachokisema kwa vitendo that is true story
Na kweli ni mtu wa vitendo, mamia wameshakufa , Helcopter na ndege zinatumika dhidi ya waandamanaji wasio na silaha , kweli Mkuuu una haki ya kumfagilia.
 
Sasa anasema UK na America wananichukia sana, lakini hawaniwezi ng'o na sitasurrender

Kwani kaona UK na USA kwenye maandamano? Nani kamwambia yeye ni rais wa Libya milele? Kwishaaaa kabisaaaaaaaaaaa
 
Hii hotuba imezidi saa zima na haina mpangilio. Mimi mpaka sijui hata alichoongelea zaidi ya kufoka na mihasira.
 
Hana lolote huyu. Mikwara tu hiyo. Mwanzo wa mwisho wake ushawadia...

Eti anasema kuna watu wanataka kuigeuza Libya iwe Taifa la kiislaam. Kwani hilo ni Taifa la christians
 
nimemckia anavyofoka
inasadikiwa kuwa ana uwezo wa kuongea for 4 hrz

Kwa leo atautumia muda huo kufoka hadi afe. Kama hata kufa leo, ataenda kufia mbelekwa mbele kishujaa kama anavyosema! Shujaa unaua watu wako? Kama ni shujaa si unarusha kombora huko kwa unaowafokea?
 
Back
Top Bottom