Pharaoh
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 843
- 157
Hatimae Dikteta Muammar al Gadhafi ameiomba Nato isimamishe vita na yeye yuko tayari wanavyotaka, ilimradi asihamishwe nje au kuuawa.
yuko tayari kuipisha Libya mpya ijengwe na wengine, lakini abaki nyumbani na salama yeye na wanawe.
kwa nini alijidanganya tangu mwanzo?
yuko tayari kuipisha Libya mpya ijengwe na wengine, lakini abaki nyumbani na salama yeye na wanawe.
kwa nini alijidanganya tangu mwanzo?