and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,116
Huyu Mwamba hakupaswa kusahaulika Kwa haraka African Union. Huyu alihimiza taifa moja Afrika (badala ya nchi vipande-vipande 53). Tafadhali AU anzisheni Gaddafi day au Gaddafi Scholarship tumkumbe Kamanda wa Afrika.
**Ikiwa mlishindwa kumlinda basi hata kumkumbuka tu kinawashinda nn?
**Ikiwa mlishindwa kumlinda basi hata kumkumbuka tu kinawashinda nn?