johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 88,063
- 151,565
Mnapowaona hawa Marais wetu kila siku wako safarini msidhani Wanaenda kuzurura bali mjue Wanaenda kutafuta Fedha za kutuletea maendeleo.
Gachagua amesema ni kweli Marais wa Afrika Mashariki wanasafiri sana lakini safari zao zina Faida Kubwa kwa nchi na jumuiya yao.
Gachagua amesema yeye ataelezea Faida ya kila safari aliyofanya Rais Ruto nje ya Kenya.
Hayo yote ametazungumza Kanisani jana Jumapili.
Source: Citizen TV
Gachagua amesema ni kweli Marais wa Afrika Mashariki wanasafiri sana lakini safari zao zina Faida Kubwa kwa nchi na jumuiya yao.
Gachagua amesema yeye ataelezea Faida ya kila safari aliyofanya Rais Ruto nje ya Kenya.
Hayo yote ametazungumza Kanisani jana Jumapili.
Source: Citizen TV