Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
ITV wametangaza asubuhi hii kwenye kipindi cha Kumekucha, ajari imetokea alfajiri ya leo.RIP Kandonga.Ajali imetokea lini je huna kapicha kidogo
Hakika ndugu yangu,madereva wanapaswa kuwa makini Sana, vinginevyo tutakwisha.Ajari zitatumaliza. RIP
AminaApumzike kwa amani
Zimerudi kwa speed ya mwanga au sioR.I.P, hizi ajali 😪😪
Oya kuna nini hio njia ya kwenu mbona ma ajali yanafululiza au ndio yale majini yenu mmeyafungulia tayari!?R.I.P, hizi ajali 😪😪
Yani back thru 4 years ajali zilipungua inaonekana tayari kuna maafisa usalama wameanza kufanya uzembe kazini!Zimerudi kwa speed ya mwanga au sio
Kweli kabisa mkuu kipindi cha miaka 4 iliyopita ajali zilipungua sana!Yani 4 years ago ajali zilipungua inaonekana tayari kuna maafisa usalama wameanza kufanya uzembe kazini!
Haiwezekani ajali zilikuwa hazisikiki kabisa yani palitulia kabisa.
Yaani, Sijui tatizo ni nini?!!!!.Mbeya mbeya, ajali zimesikika sana msimu huu
RIP
Kuna sehemu pamepwaya, mbinu zilizotumika siku za Nyuma kupunguza ajari inabidi zirudiwe tena.Yani back thru 4 years ajali zilipungua inaonekana tayari kuna maafisa usalama wameanza kufanya uzembe kazini!
Haiwezekani ajali zilikuwa hazisikiki kabisa yani palitulia kabisa. Ila juzi wamekufa akina Mboya! Leo mtangazaji wa ITV barabara hio hio ya Mbeya