TANZIA Gabriel Kandonga afariki dunia kwa ajali ya gari

Yani 4 years ago ajali zilipungua inaonekana tayari kuna maafisa usalama wameanza kufanya uzembe kazini!

Haiwezekani ajali zilikuwa hazisikiki kabisa yani palitulia kabisa.
Kweli kabisa mkuu kipindi cha miaka 4 iliyopita ajali zilipungua sana!
watu wa usalama barabarani walidhibiti sana...
 
Kuna sehemu pamepwaya, mbinu zilizotumika siku za Nyuma kupunguza ajari inabidi zirudiwe tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…