TANZIA Gabriel Kandonga afariki dunia kwa ajali ya gari

Sijui kama wamefanya hilo,ni zamani sana nilikua huko.
Kuna mteremko mkali toka simike kuja Nzovwe alafu kuna kona kali pale jkt wamekufa watu wengi sana.
Wanasema kuna jini pale enzi hizo.
Kuna siku kulikua na kisima pale.
Maji tulikua tunakinga pale,nimeenda na mdogo wangu nampenda sana tuchote maji e bana gari hiyoo imetoka juu huko simike mi naiona dogo haoni nakumbuka nilimnyakua nikamtupa pembeni.
Ile gari 5×4 pick upp nyeupe iligonga palepale alipokua amesimama.
Kama nisingemtoa tungekua tumemsahau.
Mpaka leo hajuagi hiyo action.
Ni kama ilivyo kuwa eneo la namba one zamani. Tatizo ni mwendo tuu ...

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama wamefanya hilo,ni zamani sana nilikua huko.
Kuna mteremko mkali toka simike kuja Nzovwe alafu kuna kona kali pale jkt wamekufa watu wengi sana.
Wanasema kuna jini pale enzi hizo.
Kuna siku kulikua na kisima pale.
Maji tulikua tunakinga pale,nimeenda na mdogo wangu nampenda sana tuchote maji e bana gari hiyoo imetoka juu huko simike mi naiona dogo haoni nakumbuka nilimnyakua nikamtupa pembeni.
Ile gari 5×4 pick upp nyeupe iligonga palepale alipokua amesimama.
Kama nisingemtoa tungekua tumemsahau.
Mpaka leo hajuagi hiyo action.
Kha!kha!kha!,, Hatari Sana.
 
Duh hivi karibuni mwandishi mwingine alifariki kwa ajali ya gari huko Kagera, haya magari yanamaliza nguvu kazi!
 
Gabriel kandonga alitoka kuzika ile familia ya watu sita waliofariki pamoja walichelewa sana kuzika kwenye saa 12 hivi jioni so wakati anarudi kutoka mazishini ndo akapata ajali R.I.P kandonga
 
Yani back thru 4 years ajali zilipungua inaonekana tayari kuna maafisa usalama wameanza kufanya uzembe kazini!

Haiwezekani ajali zilikuwa hazisikiki kabisa yani palitulia kabisa. Ila juzi wamekufa akina Mboya! Leo mtangazaji wa ITV barabara hio hio ya Mbeya
Siyo kweli kuwa ajali hazikuwapo.Zilikuwapo ila hazikuwa zinatangazwa kwa sababu ya kumuogopa Kayafa. Maana hakutaka kusikia habari asizozipenda, hivyo wahusika, ma RPC, walizuia zisitoke ili wabaki ktk nafasi zao.
 
Huyo hapo
FB_IMG_16324642012497304.jpg
 
Siyo kweli kuwa ajali hazikuwapo.Zilikuwapo ila hazikuwa zinatangazwa kwa sababu ya kumuogopa Kayafa. Maana hakutaka kusikia habari asizozipenda, hivyo wahusika, ma RPC, walizuia zisitoke ili wabaki ktk nafasi zao.
Hivi hizi pumba za kusema watu walikuwa wanaogopa kutangaza ajali mmezitoa wapi? Hebu acheni kujitoa ufahamu. Ajali zilikuwepo na ziliripotiwa, watu wanasema hazikuwa nyingi sana kwasababu askari walikuwa wanafanya kazi kwa kuogopa kuwajibishwa. Labda tuwaulize wanaosema sasa hivi zimekuwa nyingi watupatie takwimu miaka hio zilivyokuwa kidogo na sasa hivi tuthibitishe.
 
Back
Top Bottom