Gaboni kimenuka!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
CHADEMA mmeona? Hawa ndiyo Wanaume siyo ninyi mnatishia nyau kumbe hata uwezo wenyewe wa kuhamasisha hamna!

Eti Watanzania wamekaa wanasubiri fisadi lowasa atoe tamko wakinukishe, kumbe fiksi tupu na kura milioni 6 waliiba, watu wa IT wa chadema walihack Tume yetu ya Uchaguzi na kujiongezea kura!

Sasa Gaboni tofauti ya kura 5,594 tu kati ya aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa, lkn fisadi Lowasa anasema kwamba kaibiwa kura wakati tofauti yake na Magufuli ilikuwa ni kura milioni 2 karibia 20% ya kura, kama siyo ugonjwa wa akili ni nini?










Raisi Ali Bongo Ondimba anasema yeye ndiyo ameshinda wakati Upinzani wanamgomea!
 
Nice move

In every action there is equal and opposite reaction
 
Mwambie magu huu moto hipo siku atauona.


Swissme


Hakuna kitu kama hicho, kama kweli chadema wangekuwa na uwezo wa kukinukisha TZ wangeshafanya hivyo long time, ukweli ni kwamba hawana huo uwezo na kura milioni 6 waliiba, chadema hawana uwezo wa kufikisha kura milioni 6 Tanzania!
 
ipo siku na sisi uvumilivu utatushinda

CDM KAENI CHONJO MTAKIONA CHA MTEMA KUNI OCTOBER MOSI
 
Jeshi limelipua kwa makombora makao makuu ya chama cha Jean Ping.
 
Mwambie magu huu moto hipo siku atauona.


Swissme
Ngoja nikuambie kitu!!! Hii nchi haitakuja kupigana na nchi yo yote ile!! Pili, wala hakutakuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe milele. HIVYO NDIVYO ILIVYO...haijalishi ni nani ni au atakuwa rais... Hakuna atakayewezea kuleta vita ndani ya hili taifa, hata kwenye ndoto hicho kitu hakiwezi kutokea. Nasema hivi...hakuna vita wala umwagaji damu utakaotokea ndani ya taifa hili kwa njia ya vita!!! HAITATOKEA KAMWE...haka ukiwa ndiwe raisi... Mhutaweza kuleta vita.!!!.
 
Povu


Swissme
 
Huu ni ushahidi tosha kwamba CCM hawataki amani na ndio wachochezi wakubwa wakijificha nyuma ya mgongo wa Polisi. Ushahidi Ndio huo na hii thread haijafutwa hadi sasa
 
Hakuna kitu kama hicho, kama kweli chadema wangekuwa na uwezo wa kukinukisha TZ wangeshafanya hivyo long time, ukweli ni kwamba hawana huo uwezo na kura milioni 6 waliiba, chadema hawana uwezo wa kufikisha kura milioni 6 Tanzania!

Ficha upumbavu wako. Sio kila mtu hajue wewe ni tahira.
 
Nacheki Al-Jazeera hapa wanaonesha raia zimevamia shopping mall wamekomba karibia kila kitu,,, siasa za Africa zina safari ndefu sana
Unaambiwa hamna sehemu tamu kama ikulu kwa nchi za kiafrica
 
Mleta uzi unashabikia nchi kuingia kwenye machafuko!!habari zingine ni nzuri kuzisikia na kuziona kwa jirani tu usiombe yakutokee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…