G.P.A ya mbunge David Silinde



Silinde hakusomea human resource management Huyo MTU na wewe mnamajungu.
 
Mbona Ole sendeka mlimzoza Sana kumbe mkuki Kwa nguruwe......
 
Ile hutuba ya silinde ilivyosisitiza posho zote za bungeni zifutwe imekua ni Kisu kikali kilichogonga mfupa wa CCM, sasa hivi Lumumba watu wanaugua maumivu.
 
Basi anafaa kuwa Rais. David SILINDE = OUTGOING PRESIDAA.
 
mnavyolingia vyeti mnafikiri ndio kufaulu maisha bahati nzuri maisha hayaangalii vyeti.

Asante Mungu kwa kusaidia hilo maana wasio na vyeti vizuri na kusoma mpaka elimu za juu wangeishi wapi?

lakini bahati nzuri unaweza kuwa na phd ukaajiriwa na aliyeishia darasa la pili.
 
udsm miaka aliyosoma silinde.. hakuna tcu ya kuingia kwa kimemo

silinde ni div 1 ya egm... na amepiga b com udsm..

unaanzia wapi kumwita kilaza????
 
tuwekeeni na hotoba yake ya bungeni tuone kama hotuba pia ni hewa
 
Rafiki Mhe. Mbowe ni mwanasiasa tajiri yeye na familia yake, mambo ya sijui vyeti havina nafasi tena, hao wamewin best!
Hawa watu wanafikiri vyeti ndo kuwini maisha, nipo first year ualimu, nimevuna gunia 60 katavi za mpunga maisha yanasonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…