acheni kuwalazimisha watu wawe wagumu bila sababu. hivi leo unaweza kufananisha maendeleo ya weusi na fid q? nendeni mkamuulize madee
G Nako ndio the best rapa kwa sasa.
GNako akaungane na Lord Eyes, Ibra Da Hustler, Bou Nako na Fido wairudishe Nako2Nako.
rapa wa nini ??
we unawajua rapa wa nini na nini?
G Nako ndio the best rapa kwa sasa.
G Nako ndio the best rapa kwa sasa.
Hawa watu wanasema Weusi wamelainika. Hawarap kigumu kama fid q. Kwani fid yuko wapi? Madee nae alijitoa kwenye huo ugumu na kuwa wa kawaida kiasi na mwisho wa siku akapata alichostahiliHebu fafanua hapo kaka