Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Nilikuwa nafuatilia ratiba ya futuhi Leo Chelsea wanakutana na Thesalonike FC



bwege wwNilikuwa nafuatilia ratiba ya futuhi Leo Chelsea wanakutana na Thesalonike FC![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aiseeeeeebwege ww
Na mke na watoto juuHalafu unaweza kukuta mleta mada ni mtu na ndevu zake!!!
bwege ww
Halafu unaweza kukuta mleta mada ni mtu na ndevu zake!!!
Na mke na watoto juu
Mapovu ya nini wakati ni kweli.Jinga sana itakua ww ndo man city wabovuuu

Aiseee watakuteka hao jamaaMapovu ya nini wakati ni kweli.
Wazee wa mchangani. Mnapishwa kwanza kaka zenu wacheze ndio nyie mhangaike.
Mnaenda kucheza na vitimu vya wakulima huko mashambani. Unapanda ndege mbili, unaunganisha treni, unapanda basi, ukishuka unapanda farasi ndio ufike kiwanja cha nyumbani cha hito team ya wakulima![]()
![]()
![]()
Oyaaa umechoma mioyo yao unajua siku zote ukweli unaumaNi shida aiseeee