Lyaga kikolo imbombo ngafu!
nayapenda sana hasa ya mahindi mabich +maharange mabichi yaweke na karoti na hoho
Mh kama kande za mahindi mabichi
Sijawai kula kande nikashiba zaidi ya kujiamulia tuu sasa basi!
Hahaha! Hivi kwa nini inakuwaga hivyo?
Ukiweka na kitimoto kidogo ndo inashibisha,lol
umeona enheee...
Hii imekaa kisharobaro zaidi
kwa hakika hujasoma bording school zile za kijijini au za mission, maana huko hakuna hata maandazi ya kununuae
Duuh kumbe kila kitu kina wapenzi wake in the past 20 yrs nimekula mara moja tu