Fuso tatu za Mbowe zaigawa CHADEMA; Adaiwa kuchimbia kibindoni milioni 438/- : UHURU

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
Thursday, 05 May 2011 20:36 administrator



* Adaiwa kuchimbia kibindoni milioni 438/-
* Dk. Slaa naye alipwa mshahara wa milioni 7.144/-
* Adaiwa kununuliwa gari la milioni 78/-

NA MWANDISHI WETU

UAMUZI wa Kamati Kuu ya CHADEMA kununua magari matatu aina ya Fuso kutoka kwa Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe kwa zaidi ya sh. milioni 438 umewagawa wanachama. Hatua hiyo inatokana na wanachama hao kudai ni mpango maalumu wa kujinufaisha kwa Mbowe na Katibu Mkuu wake, Dk. Wilbroad Slaa kupitia ruzuku ya chama. Mbali na hilo, wanachama hao pia wamedai kuwa viongozi hao wamekuwa wabaguzi kwa viongozi wengine kutoka Zanzibar katika utoaji wa fedha za kuimarisha chama visiwani. Habari za kuaminika kutoka CHADEMA zinasema viongozi hao wamekuwa wakikingiana kifua kwa kila jambo linalogusa maslahi yao kwa wajumbe wengine wa Kamati Kuu. "Hatukubali katika hili... tume iliyoundwa na Katibu Mkuu kumshawishi Mwenyekiti kununua magari hayo ni yao wenyewe hasa kutokana na robo tatu ya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa wao,'' alidai mmoja wa wanachama. Alidai mazingira hayo yanatoa fursa ya kufikiwa kwa uamuzi wa kukubali kununua malori hayo licha ya sheria ya manunuzi ya umma kutaka kuitishwa kwa zabuni juu ya manunuzi yoyote. Hata hivyo, chanzo chetu cha habari kilisema zabuni hiyo haijaitishwa na badala yake Katibu Mkuu alisema magari hayo yanapaswa kununuliwa na chama.

dk.%20willibrod%20slaa.jpg



"Dk. Slaa kusema kuwa malori hayo yalinunuliwa na Mbowe kwa biashara zake binafsi, lakini kwa kuwa chama kina matatizo ya usafiri ni vyema wayanunue ni mbinu zao kujinufaisha,'' alidai mwanachama huyo. Chanzo hicho kilidai kuwa hata uamuzi wa kumlipa mshahara na posho wa sh. milioni 7.144, Dk. Slaa ni uamuzi wa kumnufaisha kwa kuwa endapo akiondoka, mshahara huo hawezi kulipwa katibu mkuu yeyote.

"Huu si utaratibu wa chama, bali unaonyesha kuwa chama kinaongozwa kwa sura, hasa ikizingatiwa awali Dk. Slaa alipokuwa bungeni alikuwa anasema mshahara kama huo anaolipwa mbunge ni mkubwa mno kwa nchi masikini kama Tanzania. "Watanzania wanapaswa kuwa makini na kauli za Dk. Slaa na Mbowe, kwani ni watu wenye kuamua mambo yao binafsi na ndio maana wamekuwa wakiuziana magari ya misaada kutoka kwa wahisani na kusema ni yao,'' kilidai chanzo hicho.

Mgawanyiko huo pia umechangiwa na uamuzi wa Mbowe kupitia Kamati Kuu wa ununuzi wa gari aina ya Land Cruiser VX lenye namba za usajili T 843 ABJ kwa ajili ya Dk.Slaa. "Katibu Mkuu kanunuliwa gari kwa sh. milioni 78, lakini gari hilo ni miongoni mwa magari yaliyopatikana kutokana na fedha za misaada ya wahisani kukimarisha chama, lakini mwisho wa siku Mbowe anasema gari ni lake,'' chanzo hicho kilidai. Aidha, chanzo hicho kilidai kuwa viongozi hao wamekataa kuongeza sh. milioni 25 kwa ajili ya ununuzi wa jengo la ofisi ya kudumu ya chama visiwani Zanzibar. Jengo hilo linauzwa sh. milioni 45. "Wabunge wa CHADEMA kutoka Zanzibar walichanga na kufikisha sh. milioni 20 na kumuomba Katibu Mkuu awaongeze sh. milioni 25 ili wanunue kwa sh. milioni 45 ili kuepuka kodi ya sh. milioni 1.2 kwa mwaka, lakini alikataa,'' alidai mwanachama huyo.

Viongozi hao kila wanapohojiwa na waandishi wa habari kutoa ufafanuzi wa madai hayo wanadai maamuzi yote yalifikiwa na Kamati Kuu na si uamuzi wa mtu mmoja mmoja ndani ya chama.
 
thursday, 05 may 2011 20:36 administrator



* adaiwa kuchimbia kibindoni milioni 438/-
* dk. Slaa naye alipwa mshahara wa milioni 7.144/-
* adaiwa kununuliwa gari la milioni 78/-

na mwandishi wetu

uamuzi wa kamati kuu ya chadema kununua magari matatu aina ya fuso kutoka kwa mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, freeman mbowe kwa zaidi ya sh. Milioni 438 umewagawa wanachama. Hatua hiyo inatokana na wanachama hao kudai ni mpango maalumu wa kujinufaisha kwa mbowe na katibu mkuu wake, dk. Wilbroad slaa kupitia ruzuku ya chama. Mbali na hilo, wanachama hao pia wamedai kuwa viongozi hao wamekuwa wabaguzi kwa viongozi wengine kutoka zanzibar katika utoaji wa fedha za kuimarisha chama visiwani. Habari za kuaminika kutoka chadema zinasema viongozi hao wamekuwa wakikingiana kifua kwa kila jambo linalogusa maslahi yao kwa wajumbe wengine wa kamati kuu. “hatukubali katika hili... Tume iliyoundwa na katibu mkuu kumshawishi mwenyekiti kununua magari hayo ni yao wenyewe hasa kutokana na robo tatu ya wajumbe wa kamati kuu kuwa wao,’’ alidai mmoja wa wanachama. Alidai mazingira hayo yanatoa fursa ya kufikiwa kwa uamuzi wa kukubali kununua malori hayo licha ya sheria ya manunuzi ya umma kutaka kuitishwa kwa zabuni juu ya manunuzi yoyote. Hata hivyo, chanzo chetu cha habari kilisema zabuni hiyo haijaitishwa na badala yake katibu mkuu alisema magari hayo yanapaswa kununuliwa na chama.

dk.%20willibrod%20slaa.jpg



“dk. Slaa kusema kuwa malori hayo yalinunuliwa na mbowe kwa biashara zake binafsi, lakini kwa kuwa chama kina matatizo ya usafiri ni vyema wayanunue ni mbinu zao kujinufaisha,’’ alidai mwanachama huyo. Chanzo hicho kilidai kuwa hata uamuzi wa kumlipa mshahara na posho wa sh. Milioni 7.144, dk. Slaa ni uamuzi wa kumnufaisha kwa kuwa endapo akiondoka, mshahara huo hawezi kulipwa katibu mkuu yeyote.

“huu si utaratibu wa chama, bali unaonyesha kuwa chama kinaongozwa kwa sura, hasa ikizingatiwa awali dk. Slaa alipokuwa bungeni alikuwa anasema mshahara kama huo anaolipwa mbunge ni mkubwa mno kwa nchi masikini kama tanzania. “watanzania wanapaswa kuwa makini na kauli za dk. Slaa na mbowe, kwani ni watu wenye kuamua mambo yao binafsi na ndio maana wamekuwa wakiuziana magari ya misaada kutoka kwa wahisani na kusema ni yao,’’ kilidai chanzo hicho.

Mgawanyiko huo pia umechangiwa na uamuzi wa mbowe kupitia kamati kuu wa ununuzi wa gari aina ya land cruiser vx lenye namba za usajili t 843 abj kwa ajili ya dk.slaa. “katibu mkuu kanunuliwa gari kwa sh. Milioni 78, lakini gari hilo ni miongoni mwa magari yaliyopatikana kutokana na fedha za misaada ya wahisani kukimarisha chama, lakini mwisho wa siku mbowe anasema gari ni lake,’’ chanzo hicho kilidai. Aidha, chanzo hicho kilidai kuwa viongozi hao wamekataa kuongeza sh. Milioni 25 kwa ajili ya ununuzi wa jengo la ofisi ya kudumu ya chama visiwani zanzibar. Jengo hilo linauzwa sh. Milioni 45. “wabunge wa chadema kutoka zanzibar walichanga na kufikisha sh. Milioni 20 na kumuomba katibu mkuu awaongeze sh. Milioni 25 ili wanunue kwa sh. Milioni 45 ili kuepuka kodi ya sh. Milioni 1.2 kwa mwaka, lakini alikataa,’’ alidai mwanachama huyo.

Viongozi hao kila wanapohojiwa na waandishi wa habari kutoa ufafanuzi wa madai hayo wanadai maamuzi yote yalifikiwa na kamati kuu na si uamuzi wa mtu mmoja mmoja ndani ya chama.

crap!ccm mnahangaika sana
 
Gazeti gani hili mkuu???
ahaaaa UTUMWA linalomilikiwa na MAGAMBA PARTY?
NAPITA TU
 
Mkaloge !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hamtupati ngooooooooooo wafitini wakubwa C-C-M!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!uchwara mkaote jua mnasikia tu baridi baada ya kujichuna ngozi
 
Thursday, 05 May 2011 20:36 administrator



* Adaiwa kuchimbia kibindoni milioni 438/-
* Dk. Slaa naye alipwa mshahara wa milioni 7.144/-
* Adaiwa kununuliwa gari la milioni 78/-

NA MWANDISHI WETU

UAMUZI wa Kamati Kuu ya CHADEMA kununua magari matatu aina ya Fuso kutoka kwa Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe kwa zaidi ya sh. milioni 438 umewagawa wanachama. Hatua hiyo inatokana na wanachama hao kudai ni mpango maalumu wa kujinufaisha kwa Mbowe na Katibu Mkuu wake, Dk. Wilbroad Slaa kupitia ruzuku ya chama. Mbali na hilo, wanachama hao pia wamedai kuwa viongozi hao wamekuwa wabaguzi kwa viongozi wengine kutoka Zanzibar katika utoaji wa fedha za kuimarisha chama visiwani. Habari za kuaminika kutoka CHADEMA zinasema viongozi hao wamekuwa wakikingiana kifua kwa kila jambo linalogusa maslahi yao kwa wajumbe wengine wa Kamati Kuu. "Hatukubali katika hili... tume iliyoundwa na Katibu Mkuu kumshawishi Mwenyekiti kununua magari hayo ni yao wenyewe hasa kutokana na robo tatu ya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa wao,'' alidai mmoja wa wanachama. Alidai mazingira hayo yanatoa fursa ya kufikiwa kwa uamuzi wa kukubali kununua malori hayo licha ya sheria ya manunuzi ya umma kutaka kuitishwa kwa zabuni juu ya manunuzi yoyote. Hata hivyo, chanzo chetu cha habari kilisema zabuni hiyo haijaitishwa na badala yake Katibu Mkuu alisema magari hayo yanapaswa kununuliwa na chama.

dk.%20willibrod%20slaa.jpg



"Dk. Slaa kusema kuwa malori hayo yalinunuliwa na Mbowe kwa biashara zake binafsi, lakini kwa kuwa chama kina matatizo ya usafiri ni vyema wayanunue ni mbinu zao kujinufaisha,'' alidai mwanachama huyo. Chanzo hicho kilidai kuwa hata uamuzi wa kumlipa mshahara na posho wa sh. milioni 7.144, Dk. Slaa ni uamuzi wa kumnufaisha kwa kuwa endapo akiondoka, mshahara huo hawezi kulipwa katibu mkuu yeyote.

"Huu si utaratibu wa chama, bali unaonyesha kuwa chama kinaongozwa kwa sura, hasa ikizingatiwa awali Dk. Slaa alipokuwa bungeni alikuwa anasema mshahara kama huo anaolipwa mbunge ni mkubwa mno kwa nchi masikini kama Tanzania. "Watanzania wanapaswa kuwa makini na kauli za Dk. Slaa na Mbowe, kwani ni watu wenye kuamua mambo yao binafsi na ndio maana wamekuwa wakiuziana magari ya misaada kutoka kwa wahisani na kusema ni yao,'' kilidai chanzo hicho.

Mgawanyiko huo pia umechangiwa na uamuzi wa Mbowe kupitia Kamati Kuu wa ununuzi wa gari aina ya Land Cruiser VX lenye namba za usajili T 843 ABJ kwa ajili ya Dk.Slaa. "Katibu Mkuu kanunuliwa gari kwa sh. milioni 78, lakini gari hilo ni miongoni mwa magari yaliyopatikana kutokana na fedha za misaada ya wahisani kukimarisha chama, lakini mwisho wa siku Mbowe anasema gari ni lake,'' chanzo hicho kilidai. Aidha, chanzo hicho kilidai kuwa viongozi hao wamekataa kuongeza sh. milioni 25 kwa ajili ya ununuzi wa jengo la ofisi ya kudumu ya chama visiwani Zanzibar. Jengo hilo linauzwa sh. milioni 45. "Wabunge wa CHADEMA kutoka Zanzibar walichanga na kufikisha sh. milioni 20 na kumuomba Katibu Mkuu awaongeze sh. milioni 25 ili wanunue kwa sh. milioni 45 ili kuepuka kodi ya sh. milioni 1.2 kwa mwaka, lakini alikataa,'' alidai mwanachama huyo.

Viongozi hao kila wanapohojiwa na waandishi wa habari kutoa ufafanuzi wa madai hayo wanadai maamuzi yote yalifikiwa na Kamati Kuu na si uamuzi wa mtu mmoja mmoja ndani ya chama.


CCM....Mmeishiwa.....tehe tehe tehe tehe tehe...hahaha hahaha hahaha hahaha...kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi....
 
CCM bwana kweli wanasikitisha, wanatunga stori za kuwachafua na kuwachonganisha wana Chadema
 
aisee ajira ngumu siku hizi ,kumbe hata kuuza umbeya nayo ajira aisee !!!!!
 
Uongo unapoisha inabidi urudierudie ili uendelee kuonekana unaongea...
 
Itachukua muda nyie kuwaelea hawa watu!.............ila mtawaelea tu!
 
hivi ile kesi ya kapteni john komba kujinufaisha na magari ya ccm TOT iliishia wapi?mbona amepata tena ubunge kupitia ccm?
 
mchango wangu kwenye umbeya huo, wewe unaeongea habari ya gari la 78 million ni nyingi , akili huna, ulitaka katibu anunuliwe mkokoteni ? hicho kiasi ni cha kawaida mmno, jaribu kuleta hoja zenye maana , hii si hoja, na suala la posho mwache Dr. wa ukweli aendelee kulipwa hiyo anastahili ,huyo ni sawa na viongozi wenu wengine wajuu, sio katibu kama makatibu wa vyama vingine choka mbaya, ni mtazamo wangu
 
Back
Top Bottom