Sawa wewe mwenye magari na mafuso nunua hilo la huyo shost wako honest, mimi fukara nimekosa nisamhehe
We sema yooote ila ujue bado Nakupenda.Wacheni porojo Mbowe aliwauzia chadema kwa million 600 kama hilo.
Bi Zainab Tamim, hawa waswma hivyo wasikusumbuwe utakuta hawana hata baiskeli.
Si biashara zangu za magari, tangaza nyumba, kiwanja au shamba uone.
Darsa limekuingia. Na kama huna uwezo usiponde biashara za watu, huo ni uhasidi.
Hapana sio kweli, uwe unasema ukweli wakati mwingine tafadhali.Nisingeweka siasa ungejitokeza na kusema ukweli? Mbona ulikaa kimya na ilhali umeshakwenda mpaka kwa Bi Zainab?
Duh! Nimeshindwa hata kujibu imenibidi nicheke.
Baba'ko analo?Hiyo takataka tu anauza bei kubwa sisi tuonaojua biashara za magari tunamueleza ukweli, usidhani kila anayeandika hapa ni mfuata mkumbo hatujuani. Huna darasa lolote
Uliyefunguka kuwa umeenda baada ya kukupiga za uso za Mbowe si wewe, umesahau?Hapana sio kweli, uwe unasema ukweli wakati mwingine tafadhali.
Acha uwongo floow na shoo ya mbele kwa 200000,acha uwongo Bati bei gani,ufundi bei gani shoo hata kama ya plastick hupatiNikiitengeneza sitaiuza.
Hakuna "utitiri wa hitilafu". Vitu vinavyohitajika vyote ni normal wear and tear. Kasoro show ya mbele tu ambayo nimeiulizia, original ya mtumba ni laki tatu na nusu.
Tairi zipo lakini si recommend kutumika kwa kazi.
Floor ya nyuma ni mbao tu za softwood ambazo na ufundi wake hazizidi 200,000 matengenezo yake.
Crane inafanya kazi, pulley na wire vimelika tu.
Engine, gear box, diff, vyote ni vizima kabisa. Unawasha gari na kuijaribu. Nimeweka wazi mambo yote ili nisisumbue mwenye kuihitaji.
Napenda kuuza kama ilivyo. Sina muda wa kusimamia matengenezo nilioyataja na niliacha biashara hiyo.
Karibu sana.
Mmghh ngoja nikubali kushindwa, huyu mtu namheshimu sana, sitapenda tuharibu uzi wake wa tangazo kwa malumbano. Nimekubali kushindwa nisamehe. Umefurahi sasa??Uliyefunguka kuwa umeenda baada ya kukupiga za uso za Mbowe si wewe, umesahau?
Baba'ko analo?
Nimedanganya nini? Kasome upya nilichokiandika.Acha uwongo floow na shoo ya mbele kwa 200000,acha uwongo Bati bei gani,ufundi bei gani shoo hata kama ya plastick hupati
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo Fuso engine yake ni 6D16,6D17,6M6O au 6M61?
Chasis ikoje?
gari ni jiko na mbavu tu, vingine vinatengenezeka.
Ndugu yangu kimfaacho mtu ni chake. Leo kuniambia mali yangu ni takataka naona si uungwana.Hiyo takataka tu anauza bei kubwa sisi tuonaojua biashara za magari tunamueleza ukweli, usidhani kila anayeandika hapa ni mfuata mkumbo hatujuani. Huna darasa lolote
Asante.Mmghh ngoja nikubali kushindwa, huyu mtu namheshimu sana, sitapenda tuharibu uzi wake wa tangazo kwa malumbano. Nimekubali kushindwa nisamehe. Umefurahi sasa??
Over my dead bodyView attachment 552489 For Sale...
Fuso mayai, long body na crane..
Engine, gear box, dif, safi kabisa...
Inahitaji tairi 6 zilizopo zimechoka na rim mbili, crane inahitaji matengenezo ya kuweka crane wire mpya na pulleys mbili. Body nyuma inahitaji floor mpya.
Inahitaji show ya mbele.
Bei 40m kwa aliye serious mpigie Mzee Abdul 0625249605 tunatoa gharama za matengenezo yaliotajwa.
Gari ipo Kibaha Misugusugu.
Ninavyofahamu mimi ni shepu yake inakuwa haina engo. Inakuwa na mzunguko fulani kama ya lisivyo na engo.Nini maana ya baadhoi ya magari kuitwa mayai? ni mapya, ni fragile kama mayai? yana umbo la yai , au ni nini?