not yet..Mgodi wa Bulyanhulu haujafunguliwa bado?
ng'wanapagiWakuu habari, nasikia mgodi wa Buly umefunguliwa, ni kweli!?
Nasikia kuna namba 9 na namba2 hali ikoje huko?
vipi mkuu hali imekuwaje kwa sasa unaweza kutupa kwa urefu kidogo..Hali si poa sana
vipi mkuu hali imekuwaje kwa sasa unaweza kutupa kwa urefu kidogo..
daah vipi kule namba mbili mkuu maduara yapo active kweli...maana niliwaacha wachache sana....upande huu wa karibu na gate la buly..Ile kasi ya mwanzo haipo tena , idadi ya makota wanaonunua dhahabu imepungua sana, ila idadi ya watu wanaokuja kakola inazidi kuongezeka
mbili wapo na namba tisa wapo, ni vema ukaja ukajionea mwenyewedaah vipi kule namba mbili mkuu maduara yapo active kweli...maana niliwaacha wachache sana....upande huu wa karibu na gate la buly..
nashukuru mkuu kwa highlight...Namba
mbili wapo na namba tisa wapo, ni vema ukaja ukajionea mwenyewe
Mgodi wa Bulyanhulu haujafunguliwa bado?
Ntaipata wapi hili machine (gold detector) kwa apa BongoNdugu kwa maoni yangu kama umeamua kwenda kakola ni sawa ila usiingie kabisa kwenye buashara ya kununua dhahabu, ila ungeweza kwa huo mtaji wako nunua gold detector alafu tafuta vijana wenyeji kodisha itakulipa sana unaweza kuwa kwenye mgao wa 50 elfu per day na zaidi
Wapo kwenye hatuwa za mwisho na kisha utafunguliwa hivi karibuniWakuu habari, nasikia mgodi wa Buly umefunguliwa, ni kweli!?
Ebu tuambie nini unacho kifaham...??kwani ulifungwa?
Ebu tuambie nini unacho kifaham...??
Sawa, next time you better shut up your mouth. Hasa unapo kuta mijadala iliyo kuzidi kimo...Sijui chochote over!!!?