Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 912
Jamani habarini za jumapili nashukuru mungu mm kwangu imeenda poa.
Poleni waliokutana na matatizo ya hapa na pale.
Ni hivi kipindi hicho 2018 nilijiingiza katika kujifunza computer programming japo niliacha baada ya kujiunga na chuo na pia kupoteza pc. Sasa Jana nikiwa na simu yangu nilikua nikitafuta app playstore ni kaona Kama Zina nishawishi kurudi Tena katika ulimwengu huu wa programming. Sasa ningependa kuwauliza wadau mliopo katika miji mikubwa kuwa fursa ipoje.
Poleni waliokutana na matatizo ya hapa na pale.
Ni hivi kipindi hicho 2018 nilijiingiza katika kujifunza computer programming japo niliacha baada ya kujiunga na chuo na pia kupoteza pc. Sasa Jana nikiwa na simu yangu nilikua nikitafuta app playstore ni kaona Kama Zina nishawishi kurudi Tena katika ulimwengu huu wa programming. Sasa ningependa kuwauliza wadau mliopo katika miji mikubwa kuwa fursa ipoje.