programmers

  1. Step_Rocker

    Ushauri kwa New Programmers

    Habari wakubwa, kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa. Moja kwa moja kwenye mada nafahamu kuna watu wanofanya programming humu ningependa tuweze kushare kwa pamoja iweze kutusaidia kwa ambao tunataka kuingia kwenye hii career. Share experience yako kwenye hii career kwenye mazingira yetu...
  2. simplemind

    Programmers Russian Roulete

    Happy coding.
  3. R

    Programmers wa Blockchain na DeFi tafadhali tuwasiliane

    Habari wakuu. Naomba mpitie Uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads/programmers-wa-blockchain-na-defi-msaada-tafadhali.1966108/
  4. R

    Programmers wa Blockchain na DeFi msaada tafadhali

    Habari Wakuu. Naomba niuweke huu Uzi hapa kwa sababu nyuzi nyingi za mrengo wa teknolojia nikiziweka kwenye jukwaa husika hazipati views za kutosha. Naomba programmers/developers wa Blockchain na decentralized finance (DeFi) wanisaidie katika hili. Huenda likawa pia na manufaa kwao. Ila kabla...
  5. K

    Kwa nini Tanzania hatuna selftaught programmers wenye mafanikio makubwa ?

    Tatizo li wapi maana taaluma ni ile ile lakini miaka yote hii hatuna watu kama kina gates & steven jobs
  6. mathsjery

    PROGRAMMERS: In-depth learning is sometimes very important

    Check this short article! An interviewer asked me to reverse a string without built in functions. What is the point in that if the built in functions are there to help developers? Answer: Because reversing a string without the use of functions shows that you understand the underlying...
  7. Superpower

    Fursa za frontend development

    Jamani habarini za jumapili nashukuru mungu mm kwangu imeenda poa. Poleni waliokutana na matatizo ya hapa na pale. Ni hivi kipindi hicho 2018 nilijiingiza katika kujifunza computer programming japo niliacha baada ya kujiunga na chuo na pia kupoteza pc. Sasa Jana nikiwa na simu yangu nilikua...
  8. mathsjery

    Nimependa hili swali, Programmers embu mtoe idea hapa

    Take the following IPv4 address: 128.32.10.1 This address has 4 octets where each octet is a single byte (or 8 bits). 1st octet 128 has the binary representation: 10000000 2nd octet 32 has the binary representation: 00100000 3rd octet 10 has the binary representation: 00001010 4th octet 1 has...
  9. Binadamu Mtakatifu

    Special thread for Javascript programmers and learner's

    Habarini wakuu mimi najifunza javascript japo kuna baadhi ya vitu sivielewi ningependa mnieleweshe muundo wa js kanuni muhimu za js na neno return linatumika vp kufunction code nanjia bora za kujifunza js Kwa sasa ninajua HTML,CSS Ahsanten na natumai mtanipa ufunguzi.
  10. Afisa Mteule Drj 2

    Computer Programmers Only: Ifahamu Application ya kubadilisha maandishi yasieleweke kwa ajili ya kuficha kilichoandikwa (cipher)

    Application hii nimeitengeneza ikiwa ni sehemu ya mazoezi ya kujifunza programming. Kwa watu wenye idea ya Cipher watanielewa zaidi.Cipher ni maandishi ambayo yamebadilishwa ili yasiweze kueleweka ili kuficha kile kilichoandikwa. Mtu anaweza kuona maandishi haya ya mficho lakini...
  11. Afisa Mteule Drj 2

    Programmers Only: Application ya Kuingiza neno moja na kupata maneno mengine

    Application hii ambayo nimeitengeneza ikiwa ni sehemu ya kujifunza Computer programming ,inawezesha kuingiza neno moja halafu,herufi za hilo neno zinaweza kutumiwa kuunda maneno mengine.Mfano ukiingiza neno cat herufi 3 za neno cat zitatumiwa kuunda maneno mengine.Hesabu inaonyesha neno lenye...
  12. mathsjery

    Jaribu kufanya haya unapotaka kujifunza programming

    Nafikiri umekuwa ukijiuliza maswali mengi juu ya programming, kwamba ni kitu gani, kinafanya nini na utawezaje kukifanya, siko hapa kukufundisha maana haiwezekani ila nitakueleza njia ambazo nimekuwa nikizitumia kujifunza programming tangu siku ya kwanza niliposikia msamiati huu. Nafikiri...
  13. Mkaruka

    Check my site. Category zimepinda

    Habari jamani Hapa kuna nini naona trending category zimekaa tenge badala ya kukaa kama ilivyo kwenye popular posts (Headings) pekee. SITE : AjiraAlerts | The Home of Smarter Job Seekers. A Trusted Gateway to Your Dream Career!
  14. Makanyaga

    Kwa wale ambao ni Programmers, naomba msaada wa kufupisha hii program kwenye DOS

    Msaada tutani: Kwa wale ambao ni Programmers, naomba msaada wa kufupisha hii program kwenye DOS Notes: 1.The abbreviation DOS_COMMAND stands for any DOS command like copy, mkdir, etc. 2.The sub-directories 2019001, 2019002, 2019003,...........,2019363, 2019364, 2019365 are in the same MAIN/...
  15. Dr Orb

    Muongozo wa software developer anaeanza part-3 (WEB BASED APPLICATION)

    Uzi huu unaletwa kwenu na Orb Tech LLC. Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza part-2 Sehemu hii tutazumgumzia Web based applications. Kama tulivyoainisha hapo awali hizi ni program zinazotumia internet katika kufanikisha jambo lililokusudiwa mfano Kupatana...
Back
Top Bottom