Habari wakubwa, kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa. Moja kwa moja kwenye mada nafahamu kuna watu wanofanya programming humu ningependa tuweze kushare kwa pamoja iweze kutusaidia kwa ambao tunataka kuingia kwenye hii career.
Share experience yako kwenye hii career kwenye mazingira yetu...
Habari Wakuu. Naomba niuweke huu Uzi hapa kwa sababu nyuzi nyingi za mrengo wa teknolojia nikiziweka kwenye jukwaa husika hazipati views za kutosha.
Naomba programmers/developers wa Blockchain na decentralized finance (DeFi) wanisaidie katika hili. Huenda likawa pia na manufaa kwao. Ila kabla...
Check this short article!
An interviewer asked me to reverse a string without built in functions.
What is the point in that if the built in functions are there to help developers?
Answer:
Because reversing a string without the use of functions shows that you understand the underlying...
Jamani habarini za jumapili nashukuru mungu mm kwangu imeenda poa.
Poleni waliokutana na matatizo ya hapa na pale.
Ni hivi kipindi hicho 2018 nilijiingiza katika kujifunza computer programming japo niliacha baada ya kujiunga na chuo na pia kupoteza pc. Sasa Jana nikiwa na simu yangu nilikua...
Take the following IPv4 address: 128.32.10.1
This address has 4 octets where each octet is a single byte (or 8 bits).
1st octet 128 has the binary representation: 10000000
2nd octet 32 has the binary representation: 00100000
3rd octet 10 has the binary representation: 00001010
4th octet 1 has...
Habarini wakuu mimi najifunza javascript japo kuna baadhi ya vitu sivielewi ningependa mnieleweshe muundo wa js kanuni muhimu za js na neno return linatumika vp kufunction code nanjia bora za kujifunza js
Kwa sasa ninajua HTML,CSS
Ahsanten na natumai mtanipa ufunguzi.
Application hii nimeitengeneza ikiwa ni sehemu ya mazoezi ya kujifunza programming.
Kwa watu wenye idea ya Cipher watanielewa zaidi.Cipher ni maandishi ambayo yamebadilishwa ili yasiweze kueleweka ili kuficha kile kilichoandikwa.
Mtu anaweza kuona maandishi haya ya mficho lakini...
Application hii ambayo nimeitengeneza ikiwa ni sehemu ya kujifunza Computer programming ,inawezesha kuingiza neno moja halafu,herufi za hilo neno zinaweza kutumiwa kuunda maneno mengine.Mfano ukiingiza neno cat herufi 3 za neno cat zitatumiwa kuunda maneno mengine.Hesabu inaonyesha neno lenye...
Nafikiri umekuwa ukijiuliza maswali mengi juu ya programming, kwamba ni kitu gani, kinafanya nini na utawezaje kukifanya, siko hapa kukufundisha maana haiwezekani ila nitakueleza njia ambazo nimekuwa nikizitumia kujifunza programming tangu siku ya kwanza niliposikia msamiati huu. Nafikiri...
Habari jamani
Hapa kuna nini naona trending category zimekaa tenge badala ya kukaa kama ilivyo kwenye popular posts (Headings) pekee.
SITE : AjiraAlerts | The Home of Smarter Job Seekers. A Trusted Gateway to Your Dream Career!
Msaada tutani: Kwa wale ambao ni Programmers, naomba msaada wa kufupisha hii program kwenye DOS
Notes:
1.The abbreviation DOS_COMMAND stands for any DOS command like copy, mkdir, etc.
2.The sub-directories 2019001, 2019002, 2019003,...........,2019363, 2019364, 2019365 are in the same MAIN/...
Uzi huu unaletwa kwenu na
Orb Tech LLC.
Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza part-2
Sehemu hii tutazumgumzia Web based applications.
Kama tulivyoainisha hapo awali hizi ni program zinazotumia internet katika kufanikisha jambo lililokusudiwa mfano Kupatana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.