Vitendo SACCOS - kukopeshana bila riba

Mimi nazungumzia wale wanaosema mfumo wa Islamic Banking kwamba unakopeshwa bila riba,kama wewe unaenda benki kukopa pesa ufanye biashara wakakupatia mfano million 1 lakini wakataka ukirudisha urudishe million 1.1 na wale wa Islamic Banking wanakununulia bidhaa unayotaka kwa kiwango kile kile kisha wakakukopesha ila ukilipa ulipe na nyongeza kidogo ndio nikasema yote ni yale yale.
Tofautisha riba na faida kwanza ndo utapata pakuanzia
 
Assalaam alaykum. Wakuu hakika katika jambo hili la 'Islamic banking' kuna kuwahadaa waislamu na wote wasiopenda riba, coz ndani ya mkopo huo kuna riba ila ijawekwa waz kama wale wengine wanavyofanya, unakuta unataka mfano m5 kufungulia duka ukienda kwao watakusikiza alaf watakwambia wanakununulia hvyo vitu(bidhaa) alaf unaambiwa marejesho yatakuwa jumla m5 na k1 kwa muda mtakao ongea. Sasa hii ni riba tena ya haramu kama ile, sema hii imewekewa hila mtu asipoangalia vizur anasema hakuna riba, na hata konyagi ikiwekwa katika thermos haiwi halali wala ile thermos haihalalish ile konyag. Kwaiyo ni wajibu kwetu kuwa makin hasahasa waislam coz mtego huu umekusudiwa sis, na pia usitarajie baraka kutoka kwa Allah katika mtaj huo wenye riba, vip akubariki wakati umemuasi? Na kukopeshana katika sheria kupo na makusudio yake ni kusaidiana wala si KUDIDIMIZANA. Huwezi kuta benki inakubali hasara, hivi niwaulize, biashara zote zinazoanzishwa hazipati hasara? Jibu mnalo. Bas ni mshirika gan huyu hatak hasara!?ye faida tu
 
Na kwa jambo hilo napenda kunasihi nafsi yangu na nyote humu hasa hasa mwanzilishi wa thread hii Zainab Tamim jambo hilo lina uharamu kwa yule aliyemkusudia Allah katika mambo yake. Ama yule ambae hajali kachuma wapi mali yake wala anaitoa wap, haya maneno hayawezi kumnufaisha. Na Allah anasema 'kumbusha kwa hakika ukumbusho unawanufaisha waumin' na katika dini yetu Alhamdulilah kila kitu kipo wazi kwa yule mwenye kujifunza kwa ajili ya Allah na kutaraji radhi zake akatak kujua bas atajulishwa. Rejea Surat Baqara 275-283 Napenda nasaha ziwe fupi, aliyewafikishwa hata manen matatu anaelewa na ambae hakuwafikishwa hata umjie na kitabu hawezi kuelewa.
Inawezekana mtu akasema ni faida..
Jibu: maana ya riba ni faida sema ni ya haram, na katika sheria Allah amejalia wenye uwezo kuwasaidia ambao hawana uwezo mpe k1 arudishe k1 aliyoichukua kwako, ama ukimzidishia unakua umempa uzito na umemwingiza katika haramu. Na ukidai mnashirikiana katik biashara bas kuna faida na hasara zote uzikubal wala asididimizwe mmoja...
 
Na kwa jambo hilo napenda kunasihi nafsi yangu na nyote humu hasa hasa mwanzilishi wa thread hii Zainab Tamim jambo hilo lina uharamu kwa yule aliyemkusudia Allah katika mambo yake. Ama yule ambae hajali kachuma wapi mali yake wala anaitoa wap, haya maneno hayawezi kumnufaisha. Na Allah anasema 'kumbusha kwa hakika ukumbusho unawanufaisha waumin' na katika dini yetu Alhamdulilah kila kitu kipo wazi kwa yule mwenye kujifunza kwa ajili ya Allah na kutaraji radhi zake akatak kujua bas atajulishwa. Rejea Surat Baqara 275-283 Napenda nasaha ziwe fupi, aliyewafikishwa hata manen matatu anaelewa na ambae hakuwafikishwa hata umjie na kitabu hawezi kuelewa.
Inawezekana mtu akasema ni faida..
Jibu: maana ya riba ni faida sema ni ya haram, na katika sheria Allah amejalia wenye uwezo kuwasaidia ambao hawana uwezo mpe k1 arudishe k1 aliyoichukua kwako, ama ukimzidishia unakua umempa uzito na umemwingiza katika haramu. Na ukidai mnashirikiana katik biashara bas kuna faida na hasara zote uzikubal wala asididimizwe mmoja...

Napenda nikufahamishe kuwa kabla hatujatoa uamuzi wa kuanzisha ushirika wa kikundi cha uwekezaji na kukopa kukopesha bila riba tumelifanyia "research" ya kina kadiri ya uwezo wetu jambo hilo. Tumefungua vitabu mbali mbali, tumepitia mijadala mbali mbali, tumepitia tovuti mbali mbali za "Islamic Finance" na "Islamic Banking, tumetazama fatwa mbali mbali za Masheikh na tukalileta hapa jamvini kujadili kwa kina. Kama hayo hayatoshi, tukakaa na Masheikh na Maulamaa tofauti wa Kiislam.

Baada ya yote hayo tumejikinaisha kuwa tunaweza kuanzisha kikundi cha kuwekeza, kukopa na kukopesha bila riba, kiuhalali kabisa, kikiendeshwa kwa misingi ya biashara zilizo halali.

Hakuna mahali tunapotoa wala kupokea riba.

Tukiingia ubia wa kibiashara na wewe na tukagawana faida hiyo ni riba?

Aya ullyoiweka namba zake tu, si sawa, huwezi kuweka namba tu za aya kutaka kufikisha ujumbe aidha uweke aya kamili au usiweke kabisa hizo namba. Hiyo aya ni hii:

Qur'an 2:
275. Wale walao riba hawasimami ila kama anavyo simama aliye zugwa na Shet'ani kwa kumgusa. Hayo ni kwa kuwa wamesema: Biashara ni kama riba.
Lakini Mwenyezi Mungu ameihalalisha biashara na ameiharimisha riba. Basi aliye fikiwa na mawaidha kutoka kwa Mola wake Mlezi, kisha akajizuia, basi yake ni yaliyo kwisha pita, na mambo yake yako kwa Mwenyezi Mungu. Na wenye kurudia basi hao ndio watu wa Motoni, humo watadumu. Maelezo

Si vyema kuharamisha kitu ambacho hakijaharamishwa.

Sisi hatutoi wala kupokea riba, tunafanya biashara ya halali kabisa kwa kuingia ubia wa ushirika.

Umenikumbusha kisa cha dereva wa taxi na "sheikh".
 
Zainab Tamim nadhan ujaelewa hzo aya nimeandika surat Baqara nayo ndio sura ya 2 katika Qur'an aya kuanzia 275 mpaka 283, hivyo ndivyo nilivyoandika.
Huenda sikuelewa vizur nielezee kwa mfano mi nataka kukopeshwa m1. Mnanikopeshaje nyinyi? Na malipo?
 
Zainab Tamim nadhan ujaelewa hzo aya nimeandika surat Baqara nayo ndio sura ya 2 katika Qur'an aya kuanzia 275 mpaka 283, hivyo ndivyo nilivyoandika.
Huenda sikuelewa vizur nielezee kwa mfano mi nataka kukopeshwa m1. Mnanikopeshaje nyinyi? Na malipo?


Nimekuelewa sana, ila ninakusisitizia kuwa aya za Qur'an haziandikwi namba tu unapotaka ujumbe wako ufike, unaziweka aya zenyewe na namba zinabaki kuwa ni reference tu kama nilivyokuwekea mfano hapo juu.

Ukitaka kukopeshwa, kwanza inabidi uwe mwanachama wa saccos hii yetu, kisha uwekeze kwa kununua hisa kadiri ya uwezo wako.

Mikopo itakuwa ya aina mbili tu, ya maendeleo na ya dharura kwa wanachama.

Ukiwa mwanachama unajaza form ya mkopo, kama ni wa maendeleo, kamati ya mkopo inaupitia na kama umekidhi vigezo vilivyoainishwa unapatiwa mkopo kwa ushirika kuingia na wewe ubia kwenye hayo maendeleo, faida itakayopatikana mnagawana mpaka utakapomaliza mkopo. Hakuna riba.

Angalizo; Baada ya muda mchahe nitaweka update ya maendeleo ya kuanzishwa hiyo saccos yetu mpya.
 
Assalaam alaykum. Wakuu hakika katika jambo hili la 'Islamic banking' kuna kuwahadaa waislamu na wote wasiopenda riba, coz ndani ya mkopo huo kuna riba ila ijawekwa waz kama wale wengine wanavyofanya, unakuta unataka mfano m5 kufungulia duka ukienda kwao watakusikiza alaf watakwambia wanakununulia hvyo vitu(bidhaa) alaf unaambiwa marejesho yatakuwa jumla m5 na k1 kwa muda mtakao ongea. Sasa hii ni riba tena ya haramu kama ile, sema hii imewekewa hila mtu asipoangalia vizur anasema hakuna riba, na hata konyagi ikiwekwa katika thermos haiwi halali wala ile thermos haihalalish ile konyag. Kwaiyo ni wajibu kwetu kuwa makin hasahasa waislam coz mtego huu umekusudiwa sis, na pia usitarajie baraka kutoka kwa Allah katika mtaj huo wenye riba, vip akubariki wakati umemuasi? Na kukopeshana katika sheria kupo na makusudio yake ni kusaidiana wala si KUDIDIMIZANA. Huwezi kuta benki inakubali hasara, hivi niwaulize, biashara zote zinazoanzishwa hazipati hasara? Jibu mnalo. Bas ni mshirika gan huyu hatak hasara!?ye faida tu


Hakuna pahala biashara imeharamishwa. Kilichoharamishwa ni riba. Mtu akinunua bidhaa ya 1,000 akakukopesha kwa kuweka faida yake ya 200, ikawa kakuuzia kwa 1,200 hiyo si riba hiyo ni biashara.

Madukani kila siku watu hufanya hivyo, ananunua bidhaa kwa jumla, anaweka dukani, kama anakufahamu anakukopesha lakini hata siku moja hakukopeshi kwa bei aliyonunulia, atakukopesha kwa faida. Na hiyo ni faidi si riba.

Riba ni pale unapokopa ukaambiwa ulipe asilimia 10 zaidi au ulipe shillingi hizi zaidi na ukichelewa kulipa inaongezeka hiyo asilimia na usipolipa mali yako inanyang'anywa.

Katika saccos yetu hayo hakuna. Huu ni ushirika wa kuwekeza na kukopa itapobidi tu na ukikopa ushirika ukikukubalia basi ushirika utaingia ubia na wewe na mtagawana faida mpaka deni litakapoisha.

Pitia updates utaelewa.
 
Wadau wote,

Napenda kuwafahamisha kuwa jana tarehe 1-5-2017 tulikuwa na kikao kuhusu kuanzishwa kwa SACCOS yetu mpya.

Wahudhuriaji wa walikuwa wa kutosha. Kati yao walikuwepo (wengi wao) ambao ni wawekezaji tayari katika miradi yetu ya awali (nje ya SACCOS tarajiwa), wengine ni wawekezaji watarajiwa. Pia tulimualika Mwenyekiti wa serikali yetu ya mtaa wa Vitendo, ndugu Salehe Dibebile, tulimualika pia na Katibu wa vyama vya ushirika vya kata ya Misugusugu bwana Kussi. Pia tulikuwa na wawekezaji wawili ambao tayari wana miradi yao (nje na yetu) ya machimbo ya michanga.

Kwa kifupi, tulitambulishana, tukajadili ushirika tunaoufikiria na tukakubaliana (bila kuwa na hoja za kupingana). Hoja zilizotamalaki zilikuwa ni za kupeana elimu zaidi ya ushirika na faida zake...
Ikaamuliwa tuuanzishe ushirika haraka iwezekanavyo...

Ikaamuliwa tuanze kwa kukusanya masharti ya saccos tofauti na samples zake, members wote wapitie ili tuweze kuwa na SACCOS yetu tarajiwa haraka iwezekanavyo...

Imeamuliwa pia Abdu Ghafur awe Mwenyekiti wa muda mpaka ushirika wetu utakapo sajiliwa ndiyo kutakapokuwa na masharti ya uchaguzi rasmi. Watakaojiunga wote watakuwa wajumbe mpaka hapo sheria na kanuni rasmi rzitakapo patikana.

Pia Imeamuliwa kuanzia sasa kila atakaependa kujiunga kutakuwa na ada ya kiingilo itakayo saidia katika gharama za usajili na mpaka hapo tutapokuwa na masharti na kanuni zetu rasmi zilizopitishwa na wnahama wote kwa ujibu wa sheria...

Ushirika tutakaoanzisha utafata sheria na kanuni zote za nchi na sheria za vyama vya ushirika za Tanzania...

Ushirika hautakuwa na ukomo wa watakaojiunga mpka hapo itakapotangazwa rasmi baada ya kupata kanuni zilizokubalika na wanahama wote, kujiunga kutakuwa wazi kwa yeyote anaekubalika kisheria, awe popote Tanzania au duniani...

Ada ya kiingilo kwa sasa ni shillihgi 10,000 (elfu kumi) ambazo zitatumwa kwa Mwenyekiti wa muda kwa njia ya Mpesa. Namba ni 0756803528 jina Ghafur Abdallah Mohamed.

Mahesabu yote ya chama yatakuwa wazi kwa wanachama wote, kwa sasa yatapatikana kupitia group la whatsapp la waliojiunga.

Kila atakaelipa ataingizwa kwenye group mahususi la whatsapp litalokuwa kwa ajili ya wanachama tu waliojiunga katika ushirika wetu mpya.

Tumeanza kupokea ada za viingilio na hesabu zote zitapatikana kwenye group mpya ya wanachama walioingia kwa kulipia ada...

Uwe popote ulimwenguni unakaribishwa kujiunga kwa faida ya wote.

Group mpya imeshafunguliwa kwa jina la muda Vitendo SACCOS na members wawili waliolipia ada tayari tumepatikana, maelezo zaidi kwenye group mpya...

Ada ya kiingilo ni shillihgi 10,000 (elfu kumi) ambazo zitatumwa kwa Mwenyekiti wa muda kwa njia ya Mpesa. Namba ni 0756803528 jina Ghafur Abdallah Mohamed

Nawajulisha wote watakaotaka kujiunga muanze kwa kulipia ada ili tufanikishe usajili kwa haraka.

Ili kujiunga, (kwa sasa) inatakiwa utupatie jina kamili, namba za simu, email address na ulipo na utume 10,000 kwa Mpesa.

Tunakaribisha maswali.

Abdul
+255 625 249 605 (whatsapp)
 
Wadau wote,

Napenda kuwafahamisha kuwa jana tarehe 1-5-2017 tulikuwa na kikao kuhusu kuanzishwa kwa SACCOS yetu mpya.
Wahudhuriaji wa walikuwa wa kutosha. Kati yao walikuwepo (wengi wao) ambao ni wawekezaji tayari katika miradi yetu ya awali (nje ya SACCOS tarajiwa), wengine ni wawekezaji watarajiwa. Pia tulimualika Mwenyekiti wa serikali yetu ya mtaa wa Vitendo, ndugu Salehe Dibebile, tulimualika pia na Katibu wa vyama vya ushirika vya kata ya Misugusugu bwana Kussi. Pia tulikuwa na wawekezaji wawili ambao tayari wana miradi yao (nje na yetu) ya machimbo ya michanga.
Kwa kifupi, tulitambulishana, tukajadili ushirika tunaoufikiria na tukakubaliana (bila kuwa na hoja za kupingana). Hoja zilizotamalaki zilikuwa ni za kupeana elimu zaidi ya ushirika na faida zake...

Ikaamuliwa tuuanzishe ushirika haraka iwezekanavyo...

Ikaamuliwa tuanze kwa kukusanya masharti ya saccos tofauti na samples zake, members wote wapitie ili tuweze kuwa na SACCOS yetu tarajiwa haraka iwezekanavyo...

Imeamuliwa pia Abdu Ghafur awe Mwenyekiti wa muda mpaka ushirika wetu utakapo sajiliwa ndiyo kutakapokuwa na masharti ya uchaguzi rasmi. Watakaojiunga wote watakuwa wajumbe mpaka hapo sheria na kanuni rasmi rzitakapo patikana.

Pia Imeamuliwa kuanzia sasa kila atakaependa kujiunga kutakuwa na ada ya kiingilo itakayo saidia katika gharama za usajili na mpaka hapo tutapokuwa na masharti na kanuni zetu rasmi zilizopitishwa na wnahama wote kwa ujibu wa sheria...

Ushirika tutakaoanzisha utafata sheria na kanuni zote za nchi na sheria za vyama vya ushirika za Tanzania...

Ushirika hautakuwa na ukomo wa watakaojiunga mpka hapo itakapotangazwa rasmi baada ya kupata kanuni zilizokubalika na wanahama wote, kujiunga kutakuwa wazi kwa yeyote anaekubalika kisheria, awe popote Tanzania au duniani...

Ada ya kiingilo kwa sasa ni shillihgi 10,000 (elfu kumi) ambazo zitatumwa kwa Mwenyekiti wa muda kwa njia ya Mpesa. Namba ni 0756803528 jina Ghafur Abdallah Mohamed.

Mahesabu yote ya chama yatakuwa wazi kwa wanachama wote, kwa sasa yatapatikana kupitia group la whatsapp la waliojiunga.

Kila atakaelipa ataingizwa kwenye group mahususi la whatsapp litalokuwa kwa ajili ya wanachama tu waliojiunga katika ushirika wetu mpya.

Tumeanza kupokea ada za viingilio na hesabu zote zitapatikana kwenye group mpya ya wanachama walioingia kwa kulipia ada...

Uwe popote ulimwenguni unakaribishwa kujiunga kwa faida ya wote.

Group mpya imeshafunguliwa kwa jina la muda Vitendo SACCOS na members wawili waliolipia ada tayari tumepatikana, maelezo zaidi kwenye group mpya...

Ada ya kiingilo ni shillihgi 10,000 (elfu kumi) ambazo zitatumwa kwa Mwenyekiti wa muda kwa njia ya Mpesa. Namba ni 0756803528 jina Ghafur Abdallah Mohamed

Nawajulisha wote watakaotaka kujiunga muanze kwa kulipia ada ili tufanikishe usajili kwa haraka.

Ili kujiunga, (kwa sasa) inatakiwa utupatie jina kamili, namba za simu, email address na ulipo na utume 10,000 kwa Mpesa.

Tunakaribisha maswali.

Abdul
+255 625 249 605 (whatsapp)


Wish I was with you guys.

Nililiona pilau kwenye picha kwenye group. Count me in Zainab, nitilie pesa za membership, sina access ya account ya Mpesa wala Tigo for now.

Will talk to you on the phone.

Keep it up.
 
Wish I was with you guys.

Nililiona pilau kwenye picha kwenye group. Count me in Zainab, nitilie pesa za membership, sina access ya account ya Mpesa wala Tigo for now.

Will talk to you on the phone.

Keep it up.


Asante sana bibie.
 
marejesho itakuwaje kwa mtu usiemjua au aliyeko mbali

Kila mtu inatakiwa ajiandikishe pamoja na namba zake za simu. Siku hizi njia rahisi ni kutumiana pesa kwa njia ya simu.

Unaweza wakati wa kujiandikisha ukatupa namba za account yako ya benki na tutafanya utaratibu wa kukuingizia marejesho kwenye account yako ukipenda.
 
Wadau wote,

Mtanisamehe sana kuwa whatsapp yangu leo ina matatizo, nilikuwa ninai update simu yangu baadhi ya apps zimeanza kugoma. Bado naendelea kui uninstall ili ni install upya, nitakuwa tena hewani kwa whatsapp mara nitakapofanikisha.

Asanteni sana kwa mwitikio mkubwa usio na mfano.
 
Wadau wote,

Mtanisamehe sana kuwa whatsapp yangu leo ina matatizo, nilikuwa ninai update simu yangu baadhi ya apps zimeanza kugoma. Bado naendelea kui uninstall ili ni install upya, nitakuwa tena hewani kwa whatsapp mara nitakapofanikisha.

Asanteni sana kwa mwitikio mkubwa usio na mfano.

Wadau wote.

Whatsapp imerudi, nipo hewani.

Usajili wa wanachama wa SACCOS yetu mpya unaendelea, nawahimiza wadau ambao bado hamjajiunga mjiunge na wale waliokwisha jiunga nawapa pongezi sana.

Jina kamili (majina matatu), namba za whatsapp kwa ajili ya kupata updates, namba za Mpesa / Tigo pesa / Airtel money / Halotel pesa / Zantel pesa / au akaunti ya bank yako ili kujiunga.

Baada ya kujiunga tutakutumia form ujaze na kurudisha kwetu.

Namba ya kutuma Mpesa ni 0756803528 Jina Ghafur Abdallah Mohamed

Asante

Abdul
0625249605
 
SACCOS yetu ina malengo ya muda mrefu ya kumwezesha Mtanzania aweze kujiajiri mwenyewe haraka iwezekenavyo.

Wanasiasa, wafanya-biashara, wajasiriamali, wafanya-kazi, wakulima, Watanzania wa diaspora na Watanzania wote kwa ujumla tunawataka mtuunge mkono kwa jitihada zetu hizi kwa kujiunga kwa wingi na hii SACCOS yetu mpya yenye dhamira njema kwa kila Mtanzania.

MUHAMMAD YUNUS (Father of microcredit and Nobel Peace Prize winner):
Well, we have a list of human rights—right to food, right to shelter, right to health, right to education, many such items which are considered and accepted as bill of rights. These are to be insured to people. So all nations, all societies try to do that. And who is going to bring food to a person who is hungry? Who is going to bring the shelter to a homeless person? Of course you say, government should do it. And even if government tried its best, how many are they going to reach?

So I was proposing to put a right to credit. It's also a human right, so that people can create their self-employment with that money. If they can create income for themselves, they can take care of right to food, right to shelter much more easily than government can ever do it.


Source: Muhammad Yunus on Microfinance . Enterprising Ideas . NOW | PBS
 
Back
Top Bottom