FURSA: Waimbaji wa Nyimbo za Injili

FURSA: Waimbaji wa Nyimbo za Injili

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,633
Reaction score
6,563
Fursa pekee hii inawajia wale walioamua kumtukuza Bwana kupitia kwa vipaji vyao vya kuimba.

Kuna web series (show itakayokuwa inarushwa mitandaoni) iko katika hatua za mwisho kuanzishwa itakayokuwa inaonyesha vipaji vya waimbaji wa nyimbo za injili.

Show hii ina mambo makuu mawili:
  • Utafanyiwa mahojiano mafupi kuhusu maisha yako na malengo yako kimuziki.
  • Utaweza kutumbuiza wimbo au nyimbo zako LIVE.
Sharti kuu ni kwamba uwe tayari na mwimbo kuanzia mmoja uliokamilika.

SIYO LAZIMA UWE MZOEFU, TUNAKARIBISHA WAZOEFU NA HATA WALE WANAOANZA KIMUZIKI.

TAFADHALI sambaza taarifa hii na wajulishe wengine ili wawaoweza kufaidika nayo wafahamu.

Kwa mawasiliano na maelezo zaidi, simu namba 0762-688-222 au email info@natronstudios.com.
 
Kuna nyimbo ya injili naitafuta..ya kiswahili..sijui nani ameimba..lyrics zake kwenye chorus ni "jehova nissi,jehova shalom..elio baba nakuabudu..jehova makaresh..jehova shama elishadai nakuinulia mikono juu"

Nisaidiane niupate wakuu.
 
Back
Top Bottom